real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Hii imetokea huko Kenya Mwizi huyo alijifanya anahitaji gari za kukodisha na kuelewana na mwenye magari, mwenye gari alienda kununua vocha ndipo mwizi huyo alipomuwekea madawa kwenye juisi aliyokuwa akinywa na kukosa fahamu
Mhanga huyo alienda kwa mganga kwa kuwa hakuwa na imani na polisi na mganga akamuambia atapeleka gari hilo kwa polisi mwenyewe
Mwizi huyo alijipeleka kituoni mwenyewe na gari likiwa na nyuki waliokufa lakini mwenye gari alisema hatamfungulia mashataka kwa kuwa amepata gari lake
Mhanga huyo alienda kwa mganga kwa kuwa hakuwa na imani na polisi na mganga akamuambia atapeleka gari hilo kwa polisi mwenyewe
Mwizi huyo alijipeleka kituoni mwenyewe na gari likiwa na nyuki waliokufa lakini mwenye gari alisema hatamfungulia mashataka kwa kuwa amepata gari lake