PreGE2025 Mwita Waitara aliyewahi kububujikwa na machozi bungeni asema Ushindi upo, CCM imepata kibali kutoka kwa Mungu

PreGE2025 Mwita Waitara aliyewahi kububujikwa na machozi bungeni asema Ushindi upo, CCM imepata kibali kutoka kwa Mungu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Wakuu huyu mbunge aliyewahi kulia kwa kububujikwa machozi lukuki ambaye ni Mbunge Wa Jimbo la Tarime Vijijini Mwita Waitara amesema tarehe 28 watavuta fomu na ushindi upo kutokana na yale yaliyotekelezwa

Amesema Jimbo la Tarime Vijijini lipo tayari kwa ajili ya uchaguzi huku akisema wanajiandaa kurudi Bungeni kwani Chama cha Mapinduzi kiliwekwa na Mungu
 
Wakuu huyu mbunge aliyewahi kulia kwa kububujikwa machozi lukuki ambaye ni Mbunge Wa Jimbo la Tarime Vijijini Mwita Waitara amesema tarehe 28 watavuta fomu na ushindi upo kutokana na yale yaliyotekelezwa

Amesema Jimbo la Tarime Vijijini lipo tayari kwa ajili ya uchaguzi huku akisema wanajiandaa kurudi Bungeni kwani Chama cha Mapinduzi kiliwekwa na Mungu
View attachment 3308051
Huyu bwana ajiandae na hilo jimbo, harudi. Kwanza wananchi hawataki hata kumuona
 
Wakuu huyu mbunge aliyewahi kulia kwa kububujikwa machozi lukuki ambaye ni Mbunge Wa Jimbo la Tarime Vijijini Mwita Waitara amesema tarehe 28 watavuta fomu na ushindi upo kutokana na yale yaliyotekelezwa

Amesema Jimbo la Tarime Vijijini lipo tayari kwa ajili ya uchaguzi huku akisema wanajiandaa kurudi Bungeni kwani Chama cha Mapinduzi kiliwekwa na Mungu
View attachment 3308051
Pumbavu sana.
Wakati pesa kibao zinaibiwa, yeye kazi yake ni kujipendekeza.
Viongozi karibu wote wapo kwa ajili ya maslahi yao.
Natamani niwe rais wa JMT ili nikomeshe hili suala la watu kutafuna fedha za umma, pamoja na ushenzi mwingine wanaofanya viongozi walio wengi.
 
Back
Top Bottom