Mwita Waitara acharuka Bungeni asema Kama kuna Masharti ya Ushoga hatutaki Misaada yao mura!

Wazungu wqnatambua hilo ya kwamba Tanzania haipatani na uovu huo, hata walipojaribu kumtumia kibaraka wao juu ya haki za kifaragha lilishindikana mazima.
Hivi ni nani alitaka kuleta ndege nzima ys mashoga waje kutalii? Ni nani anakashafa eti anawasaga wenzake? Kibaraka yeye kasema kweli hiyo ni faragha lakini cha ajabu faragha ya kuwasaga wanawake wenzake imevuja.
 
Hivi ni nani alitaka kuleta ndege nzima ys mashoga waje kutalii? Ni nani anakashafa eti anawasaga wenzake? Kibaraka yeye kasema kweli hiyo ni faragha lakini cha ajabu faragha ya kuwasaga wanawake wenzake imevuja.
Talks with proves!
Kuwa na vielelezo ndipo uongee jambo! Hizo hearsay ni upuuzi tu. / Tupo kwenye dunia ya chuki na wivu mkali sana!
 
Mbunge wa Tarime Vijijini akichangia hotuba ya wizara ya Maendeleo ya Jamii amesema kama hao wanatupa Misaada ya Kibajeti wanatuwekea Masharti ya Ushoga basi Misaada yao hatuitaki

Mwita Waitara alionekana ni mwenye hasira kali sana kiasi kwamba Mbunge wa pembeni yake alikuwa anatetemeka

TBC
Anaongea tu hapo lakini Mwenyekiti wake kutwa yupo Ulaya kuomba misaada
 
Tatizo la sisi watanzania kelele nyingi vitendo zero. Huyo hata akipewa urais leo atashindwa kuweka sheria za kutokomeza ushoga
 
Huyu Waitara hajui kuwa hata Taliban wanaruhusu hela ya Bacha Bazi.
 
Back
Top Bottom