Mwisho wa yote ni chini tu

Mwisho wa yote ni chini tu

Rebuild

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2020
Posts
3,632
Reaction score
7,178
Nipo zangu home nasukuma kete zangu kichwani.
Jinsi ya kupata Hela nyingi nijenge mijumba ninunue magari Mazuri nile bebez za kwenda.

Najisemea hela nyingi zina gharama kubwa na kutokuwa na Amani ya kutosha kama nilivyo Sasa.

Mali nyingi zina gharama masta
Achana na matamaa haya ya magari Mazuri.
Ridhika na hiyo Toyota Passo yako kwa Sasa bila kuwaza kuna watu wanakutilia.

Acha kuingilia mfumo
Achana na mambo ya watu.

Napata stimu ya kulalia masta.
 
Kuna jamaa yangu wanamfuatilia wakati Hana chochote anachomiliki kati ya vile wanavyovifuatilia😫

Kila siku wanamdhalilisha tu kwa kumtangaza kwa watu kuwa wamempaka mafuta na kumlawiti. Huyu jamaa yangu yupo Arusha.

Kuna wakati huwa nasema Bongo bahati mbaya ukimiliki Mali ni shida na usipomiliki pia ni shida. Kikubwa ni kuridhika na ulichonacho Sasa hivi snitches ndani ya TISS wapo wengi Sana. Ukiona Snitch anakutolea taarifa jua yeye Hana na ana roho ya chuki tu kutaka kujua tu amevipataje
 
1781494601446.gif
 
Kuna jamaa yangu wanamfuatilia wakati Hana chochote anachomiliki kati ya vile wanavyovifuatilia😫

Kila siku wanamdhalilisha tu kwa kumtangaza kwa watu kuwa wamempaka mafuta na kumlawiti. Huyu jamaa yangu yupo Arusha.

Kuna wakati huwa nasema Bongo bahati mbaya ukimiliki Mali ni shida na usipomiliki pia ni shida. Kikubwa ni kuridhika na ulichonacho Sasa hivi snitches ndani ya TISS wapo wengi Sana. Ukiona Snitch anakutolea taarifa jua yeye Hana na ana roho ya chuki tu kutaka kujua tu amevipataje
Iko hivyo mkuu
 
Iko hivyo mkuu

Unasema hivyo kwa sababu hawajakufikia. Siku wakikufikia ndiyo utaelewa nilichoandika kuhusu huyo jamaa yangu aliyepo Arusha.

Kila siku wanamdhalilisha kwa kumcheka Kwamba amelawitiwa kwa kupakwa mafuta kisa alilewa K-Vant, ukifuatilia kwa undani zaidi unaambiwa eti anamiliki ghorofa kwahiyo wanalitafuta hilo ghorofa wakati masikini ya MUNGU Hana nyumba yeyote anayomiliki.

Kwakweli inasikitisha Sana TISS walipotufikisha katika hii nchi, hivi mtu anayemiliki ghorofa hawajui anafananaje? Mbona wao huko TISS Kuna watu wanamiliki maghorofa ya kifisadi na wanajulikana mbona hawafutiliwi na wanaokuja kufuatiliwa ni watu ambao ni masikini wa kutupa hawana chochote duniani hapa wanachomiliki labda utilie mashaka wakati mwingine Hawa TISS wanatumia ubabe kwa kuongea watu kwa kuwapakazia watu majungu na unafiki huku wakiwa na ajenda za Siri za kumchukia mtu kwa lengo la kumdhalilisha na mwishowe auwawe.

Sasa hata ukimdhalilisha na kumvunjia heshima na kununua, wewe kama TISS utafaidika na Nini??? Zaidi utaacha kilio kwa watoto na Ndugu zake cha kumkosa mpendwa wao ambacho kilio chao Hakika kitakutafuna wewe na kizazi chako.

Huyu jamaa wangu wa Arusha namfahamu haijawahi kufanya ufisadi wowote katika Taasisi maarufu Mkoani Arusha anayofanyia kazi anaishi kwa mshahara wake halisi anaoupata. Hawa TISS wakati mwingine wachunguzwe pale wanapokuwa na hisia potofu kuhusu mtu wanayemtilia mashaka wakati mwingine inawezekana ni chuki Binafsi na chumvi nyingi unaweza Kuta zimeongezeka kwa ajenda ya Siri ya mtu Binafsi aliyonayo moyoni mwake kutaka kunichafua mtu pasipo Sababu za msingi halafu wanamuonea huyu jamaa yangu wa Arusha kwa sababu yeye siyo TISS na Hana wa kumtetea ndani ya TISS
 
Back
Top Bottom