MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Huyo ni tishio kwa BAVICHA kwa sababu wote wanasimama katika nguzo inayofanana ambayo niya uongo na uzandiki.Makamanda wa Chadema wanaoinyima usingizi ccm wanazidi kuongezeka. Ben Saanane naye kumbe ni tishio mtaa wa lumumba. Sasa makamanda tuongeze kasi ya mashambulizi kwakuwa ccm inakaribia kuachana mwili na roho.
Dkt. Slaa na Kamanda Mbowe endeleeni na kazi hiyo hiyo nzuri ya kuwapika kiukomavu vijana wengi zaidi ili kazi yetu ipate kuwa ya uhakika na nyepesi zaidi.
Kama wewe unajua imechakachuliwa, lete ya kwako ambayo haijachakachuliwa tuione.
Jenga hoja kwa evidence na siyo mihemko ya kibavicha.
Hizi kelele unazopiga ni kelele za debe tupu. Huoni huyo aliyeleta uwongo kuhusiana na hili swala ameamua kufunga thread yake haraka na kuukimbia uongo wake.
Kwakuwa umeamua kujitia upofu...huoni aibu boss wako kaleta uongo na uzushi kautetea siku nzima umepatikana ukweli mbiooooNinachompenda Nape Nnauye (Honey K); yeye kila tamshi lake au andishi analoandika mwenyewe likileta utata, jibu lake la haraka ni "nasingiziwa!"
Hiyo clip ina dakika 11 tu
Haijaanzia mwanzo alipoanza kuogea,haionyeshi maneno yake ya nwisho wake kama ndio alihitisha,
The video is not proved not to be eddited
hatujaona ushahidi wowote wa aliepost na alierekodi kuonyesha haijafanyiwa edditing,
In that reason waandishi na wahariri wa magazeti mawili tofauti kukaa chini kutunga habari na kuandika habari zinazofanana sio rahisi
Hatujaona mlengwa akikiwaandikia demand note wahariri hao kukanusha kauli yake kama alivonukuliwa
Hatujaona hadhira aliyowahubiria nape wakikanusha hii habari hukutamka haya maneno dhidi ya wazee wetu.
Bado nasisitiza video iliowekwa hapa ni fake,it is modified to clear nape,
bora angekaa kimya...
Tutaitafuta clip nzima na suppoting evidences tutaziweka hapa jf.time will tell
Kwa Ben Saatisa, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!
Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!
Unafiki unakusumbua mpaka unajitahidi kujenga hoja ambayo ni muflisi.Hiyo clip ina dakika 11 tu
Haijaanzia mwanzo alipoanza kuogea,haionyeshi maneno yake ya nwisho wake kama ndio alihitisha,
The video is not proved not to be eddited
hatujaona ushahidi wowote wa aliepost na alierekodi kuonyesha haijafanyiwa edditing,
In that reason waandishi na wahariri wa magazeti mawili tofauti kukaa chini kutunga habari na kuandika habari zinazofanana sio rahisi
Hatujaona mlengwa akikiwaandikia demand note wahariri hao kukanusha kauli yake kama alivonukuliwa
Hatujaona hadhira aliyowahubiria nape wakikanusha hii habari hukutamka haya maneno dhidi ya wazee wetu.
Bado nasisitiza video iliowekwa hapa ni fake,it is modified to clear nape,
bora angekaa kimya...
Tutaitafuta clip nzima na suppoting evidences tutaziweka hapa jf.time will tell
Makamanda wa Chadema wanaoinyima usingizi ccm wanazidi kuongezeka. Ben Saanane naye kumbe ni tishio mtaa wa lumumba. Sasa makamanda tuongeze kasi ya mashambulizi kwakuwa ccm inakaribia kuachana mwili na roho.
Dkt. Slaa na Kamanda Mbowe endeleeni na kazi hiyo hiyo nzuri ya kuwapika kiukomavu vijana wengi zaidi ili kazi yetu ipate kuwa ya uhakika na nyepesi zaidi.
Lonesome,kuandika ben saatisa maana yake nin kama si kubehave utoto? mbona unashindwa kuwa serioua hata angalau kwa dakika chache? siasa za kitoto ndizo zinaponza chama kinaonekana hakina watu makini. ukishindwa kutumia elimu bas tumia hata akil za kuzaliwa. mara nyng umewaita watu wasio CCM majina ya kebehi kama Dr slaa kumwita babu n.k. binafs kuna watu sikubalian nao lakin haimaanish nijikosee na niwakosee wao heshima.nape ndugu yangu siasa si kashfa au umajivuni.jaman hamwangalii siasa za wenzetu? mbona wanaheshimiana ila wanapingana kwa hoja.! nyie mnaotumiwa mnatumika mpaka mnapitiliza.jaribu kukua kiakil washnde kwa hoja za msing kuwa sanifu kuwakAshifu kunatudhalilisha hata sis wengne hasa vijana.siku hizi tunatumika sana na viongoz.lakin pia kukaa kimya ni busara sana wakat mwingne.nape nakwambia kwa upendo bila kukutukana. badilika kijana mwenzangu.kabla hujasema kwanza fikiri lakin si lazima useme wakat wote....
Fikra ya mtu haifichiki kwa kutumia pen ID. Mpumbafu ataendelea kuwa mpumbafu, mjinga ataandika ujinga, na mwenye akili ataonekana tu. Labda nikuulize, umekwishasoma posts ngapi zenye ubaguzi wa rika zilizoandikwa na Nape humu JF mpaka leo?Kwakuwa umeamua kujitia upofu...huoni aibu boss wako kaleta uongo na uzushi kautetea siku nzima umepatikana ukweli mbioooo
January kawachana kina Lowassa,Membe na wengineo kuwa wote waliozaliwa kabla ya 1961 waachane na mawazo ya Urais maana watatupotezea muda ...tunahitaji rais wa dot.com atakayeendana na changamoto za leo
Ni kweli ni mzalendo kwa uongo wake kama huo aliomzushia Nape hapa kisha akakimbia.Ni kweli kamanda, ben saa8 naye ni tishio kwa magamba, ni kijana msomi asiye na uchu wa madaraka wala tamaa ya pesa.ndio maana aliwakataa masalia.ben saa8 ni kijana mzalendo ndui maana magamba hawaishi kumchafua na kumtukana kila siku maana anawanyima magamba usingizi. :target:
Sasa we mburula si lete ya kwako ambayo haijachakachuliwa!Vinginevyo kalale
Jazba na matusi ni silaha dhaifu sana katika mapambano ya hoja.Nape mwandosya ni vuvuzela, tumbo kubwa kama trekta.
Una uhakika kwamba Nape hakusema hivyo na ni kipi kinachokuamisha kuwa Nape hakutamka yale yaliyohusu kukashifu wazee?Ni kweli ni mzalendo kwa uongo wake kama huo aliomzushia Nape hapa kisha akakimbia.
Dogo hata sie wabeba mabox tunajua Nape anawapasua kichwa sana Magwanda hanchelewi kum Denis Msaki. Anasababu gani ya kuja na PenId kama wewe wakati huwa anakujankwanjinanlake kama alivyofanya hapa? Kama kidume njoo kwa jina lako kwanini unajificha!Fikra ya mtu haifichiki kwa kutumia pen ID. Mpumbafu ataendela kuwa mpumbafu, mjinga ataandika ujinga, na mwenye akili ataonekana tu. Labda nikuulize, umekwishasoma posts ngapi zenye ubaguzi wa rika zilizoandikwa na Nape humu JF mpaka leo?