Operation kimbunga hiyo. When you live in glass houses.....
Operation kimbunga hiyo. When you live in glass houses.....
Nilishajua kuletwa post hii hapa jamvini kuna lengo fulani - birds of a feather...., hii inadhilisha kwamba Operation Kimbunga iliwashika pabaya waliokuwa na ajenda zao. Bravo JK na wana usalama wetu kwa kazi yenu iliyo tukuka, sina shaka wahamiaji haramu watafikilia mara mbili kabla hawaja tia mguu tena Tanzania, fuateni taratibu na sheria za uhamiaji kama mna nia nzuri ya kuomba uraia/hamia Tanzania - lakini mkileta mambo ya kugehuza nchi za wenzenu shamba la bibi mtapata fundisho la mwaka. Kumbuka zoezi hili ni endelevu, tumekwisha washtukia.Operation kimbunga hiyo. When you live in glass houses.....
Nilishajua kuletwa post hii hapa jamvini kuna lengo fulani - birds of a feather...., hii inadhilisha kwamba Operation Kimbunga iliwashika pabaya waliokuwa na ajenda zao. Bravo JK na wana usalama wetu kwa kazi yenu iliyo tukuka, sina shaka wahamiaji haramu watafikilia mara mbili kabla hawaja tia mguu tena Tanzania, fuateni taratibu na sheria za uhamiaji kama mna nia nzuri ya kuomba uraia/hamia Tanzania - lakini mkileta mambo ya kugehuza nchi za wenzenu shamba la bibi mtapata fundisho la mwaka. Kumbuka zoezi hili ni endelevu, tumekwisha washtukia.
Mkuu nilisha eleza mara nyingi humu kwamba sisi hatuna chuki na kabila lolote kutoka Rwanda, mbona walianza kuhamia mkoani Kagera kama wakimbizi tangu miaka ya hamsini wakaishi na wenyeji bila labsha, tatizo limekuja kuhibuka miaka ya hivi karibuni katika current Administration ya nchini mwenu, mtu ukiangalia jinsi mnavyo ji-conduct mnapo kuwa ugenini ni majanga kabisa kuanzia kwenye: Uharibifu wa mazingira with impunity, kuteka magari na kuuwa raia wasio na hatia, kujaribu kuhodhi/pora aridhi za majirani zenu by hooks&crooks nk - ni binadamu gani mwenye akili timamu anaweza kuvumilia vitimbwi vyenu 4ever! Nani, tell me? Yaani mnataka ku-emulate adithi za Mwarabu mwenye hema na Ngamia wake. MKuu kumbuka kinacho zungumzwa hapa ni uhamiaji HARAMU repeat HARAMU na si kitu kingine, tatizo lenu mko mahiri sana kugeuza maneno na kurudia rudia adithi hizo hizo miaka nenda rudi - dunia imekwisha shitukia/choshwa na mbinu zenu zilizo kwisha pitwa na wakati !! Nimalizie kwa kusema kwamba nimeona hapa umejaribu kutusema mambo mengi -ve, lakini inapokuja kwenye Dept ya AKILI nataka kukuhakikishia kwamba Watanzania tuna akili nyingi ndio maana tuliweza kuwa-nip in the bud i.e timely wahamiaji wote haramu kabla hawaja import vurugu zao ndani ya Taifa letu. Mwisho, wewe unajuaje kama sijawahi kutembelea mkoa wowote zaidi ya Bukoba mjini na vijijini, unajuaje kama sijawahi ku-encounter RACISM katika maisha yangu, mkuu hakuna binadamu anayependa kubaguliwa, vile vile hakuna Taifa lolote linaweza kuruhusu wageni waishi nchini mwake bila kibali, alafu wakihojiwa wanaleta mambo ya kutishia maisha, dharau, viburi na kufokea watu wazima kama watoto.kama kazi utakuwa nayo,shamba utakuwa nalo,pesa utakuwa nayo sina shaka..ila umekosa kitu kimoja nacho ni zaidi ya pesa,shamba,nk....kitu hicho si kingine ni ......AKILIhivi wahamiaji walikufanya nini?mbona unakuwa na chuki za ajabu ajabu?una bahati hujawahi kutoka nje ya bukoba/muleba.....waulize walokwisha toka nje ya nchi wakueleze kubaguliwa ni nini?
Njoo TZ na mkeo huyo kama kweli mna ndoa halali kisheria. Isije ni kuzaa naye tu ndo anatumia kama kigezo cha kuishi kwa watu. anaweza kuwa mhamiaji haramu huko.
kama kazi utakuwa nayo,shamba utakuwa nalo,pesa utakuwa nayo sina shaka..ila umekosa kitu kimoja nacho ni zaidi ya pesa,shamba,nk....kitu hicho si kingine ni ......AKILI
hivi wahamiaji walikufanya nini?mbona unakuwa na chuki za ajabu ajabu?una bahati hujawahi kutoka nje ya bukoba/muleba.....waulize walokwisha toka nje ya nchi wakueleze kubaguliwa ni nini?
toka ukweni uko urud kwenu. ata tz imefukuza wahamiaj haramu.
inasikitisha mtu kama mwisho kuishi ukweni bila vibali
kama kazi utakuwa nayo,shamba utakuwa nalo,pesa utakuwa nayo sina shaka..ila umekosa kitu kimoja nacho ni zaidi ya pesa,shamba,nk....kitu hicho si kingine ni ......AKILI
hivi wahamiaji walikufanya nini?mbona unakuwa na chuki za ajabu ajabu?una bahati hujawahi kutoka nje ya bukoba/muleba.....waulize walokwisha toka nje ya nchi wakueleze kubaguliwa ni nini?
Mkuu nilisha eleza mara nyingi humu kwamba sisi hatuna chuki na kabila lolote kutoka Rwanda, mbona walianza kuhamia mkoani Kagera kama wakimbizi tangu miaka ya hamsini wakaishi na wenyeji bila labsha, tatizo limekuja kuhibuka miaka ya hivi karibuni katika current Administration ya nchini mwenu, mtu ukiangalia jinsi mnavyo ji-conduct mnapo kuwa ugenini ni majanga kabisa kuanzia kwenye: Uharibifu wa mazingira with impunity, kuteka magari na kuuwa raia wasio na hatia, kujaribu kuhodhi/pora aridhi za majirani zenu by hooks&crooks nk - ni binadamu gani mwenye akili timamu anaweza kuvumilia vitimbwi vyenu 4ever! Nani, tell me? Yaani mnataka ku-emulate adithi za Mwarabu mwenye hema na Ngamia wake. MKuu kumbuka kinacho zungumzwa hapa ni uhamiaji HARAMU repeat HARAMU na si kitu kingine, tatizo lenu mko mahiri sana kugeuza maneno na kurudia rudia adithi hizo hizo miaka nenda rudi - dunia imekwisha shitukia/choshwa na mbinu zenu zilizo kwisha pitwa na wakati !! Nimalizie kwa kusema kwamba nimeona hapa umejaribu kutusema mambo mengi -ve, lakini inapokuja kwenye Dept ya AKILI nataka kukuhakikishia kwamba Watanzania tuna akili nyingi ndio maana tuliweza kuwa-nip in the bud i.e timely wahamiaji wote haramu kabla hawaja import vurugu zao ndani ya Taifa letu. Mwisho, wewe unajuaje kama sijawahi kutembelea mkoa wowote zaidi ya Bukoba mjini na vijijini, unajuaje kama sijawahi ku-encounter RACISM katika maisha yangu, mkuu hakuna binadamu anayependa kubaguliwa, vile vile hakuna Taifa lolote linaweza kuruhusu wageni waishi nchini mwake bila kibali, alafu wakihojiwa wanaleta mambo ya kutishia maisha, dharau, viburi na kufokea watu wazima kama watoto.