Mwinyi: Hakuna maendeleo bila kanisa

Mwinyi: Hakuna maendeleo bila kanisa

Kwa hiyo Saudi Arabia ilijengwa na makanisa?, acheni dharau

Are u in Saudi Arabia? context hapa ni nini? Watoto Kibao kwa maelfu waislam wanasomeshwa na mashirika ya dini ya Kikristo, na inashangaza sana, wanahudhuria vituo wanafundishwa Biblia na wakiwaandikia wafadhili wao wanaanza na Bwana asifiwe, with the same note: Wanawapa mpaka mistari ya Biblia!
 
Hapa Tuko Tanzania Mkuu, hivyo ni vyema tukatofautisha na Saudi Arabia
Dunia ni kisiwa. Msimtie maneno ndani ya kinywa cha Alhaj Ali Hassan Mwinyi.Kichwa cha habari kingesomeka; Tanzania: Hakuna ukafiri bila ya Kanisa.
 
Mambo kama haya sio ya kuandikwa magazetini, yanaleta mgawanyiko katika taifa.
Madhali huisemi CCM na serikali zake ni sawa tu na hakuna uchochezij wowote wala hatari ya kuleta mgawanyiko katika taifa.
Ukijua kuwa uislamu ulianzishwa na kanisa ndo utaweza pata jibu la swali lako.
Mkuu hebu nielemishe, Kanisa gani hilo liloanzisha uislamu? Kanisa la hamis kigangwala?
 
Saudi Arabia mafuta wanachimba wazungu wenyeji kutwa na mikanzu myeupe
 
ilikua ni lazima kwa gazet hili la kigalatia kuandika hivi naamini limepotosha umma
 
Kibibi cha Jf kimepita kimya kimya maana nasikia harufu yake tuu lkn sikioni.
 
Sio busara kutoa hukumu kwa kutumia vichwa vya habari kwani wakati mwingine kuna tofauti kubwa na kilichosemwa na kuandikwa kwa kina.
Watu wanatokwa mapovu tu hapa ila hakuna hata mmoja,nina uhakika hapana hata mmoja hapa jamvini alopata nafasi ya kusoma kilichoandikwa humo ndani ya gazeti.mjinga mmoja hapo juu nae kauliza eti anasikia Mzee Mwinyi kafariki!!!kweli tunafikia kubishana kwa vitu tusivyokuwa na uhakika navyo hadi kutamani binadam mwenzetu kufa?huu ni ulimbukeni wa hali ya juu.

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom