Mwinyi: Hakuna maendeleo bila kanisa

Mwinyi: Hakuna maendeleo bila kanisa

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Ni vyema taasi za dini zikapewa kipaumbele katika suala zima la maedeleo ya nchi. Asante Mwinyi kwa kuliona hill

FullSizeRender_20.jpg
 
Kwani china kuna makanisa? Au point ni kwamba tabia ya watz hawaendi bila kanisa na misikiti?
 
Wakuuu nmepata habar huyu mzee amefarik kuna mwenye taarfa kamil?
 
Huku ndo kulewa madaraka babkubwa ata dini yako na imani yako unaziweka rehani.
 
Back
Top Bottom