Alilewa umaarufu akajimaliza na kubakia kuwa misheni to town. Aliingilia kuoa na kuacha asijue ndiyo kitanzi chake kisanaa. Hao ndiyo wasanii wa Bongo. Leo yupo kesho yuko kwenye kaburi la sahau akiganga njaa. Yuko wapi Bishanga?
Alilewa umaarufu akajimaliza na kubakia kuwa misheni to town. Aliingilia kuoa na kuacha asijue ndiyo kitanzi chake kisanaa. Hao ndiyo wasanii wa Bongo. Leo yupo kesho yuko kwenye kaburi la sahau akiganga njaa. Yuko wapi Bishanga?