Mwili wa binadamu una seli zaidi ya trilioni moja na kila seli inajitegemea

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,542
3,451
Uumbaji una mengi na yanayostaajabisha kwa mfano Daktari anapothibitisha mtu amepoteza maisha ni sawa na kusema ndani ya dakika mbili au tatu ubongo umekufa lakini bado sehemu kubwa ya seli za mtu aliyekufa inakuwa inafanya kazi (mfano mtu anaweza kufa lakini bado nywele zikaendelea kuota).

Je nini kinakufa tunapokufa? (Uhai sasa ni kitu gani?Je ni akili? Moyo au?)
Imani kadhaa leo zinatoa elimu juu ya jiografia ya peponi lakini hazielekezi mini kitatokea ndani yao (uhai upo wapi?).
Inakuwaje tunafahamu vitu vingi lakini hatufahamu asili ya uhai wetu?

Kuna kumbukumbu nyingi zimebebwa na seli ndiyo zinazoongoza seli kujitambua kuwa ni seli za binadamu au mimea "memories are entrenched in cells" (soft ware)."Software package" inachukua sehemu kubwa sana kwenye mwili wa binadamu na software ya binadamu inatiwa nguvu na kani za uhai "life force".

Kwenye Yoga yanaitwa "Prana" inayojidhihirisha katika maumbile tofauti matano yafuatayo:

1. Prana wayu (respiration processes and pulmonary action)
2. "Sarmana wayu" (hujihusisha na joto la mwili)
3. "Apana wayu" (inahusika na hisia" sensory activity"
4. "Udhana wayu" na (inajihusisha na wepesi au ueleo wa kitu buoyancy. Mfano uzito wa Mtu aliyekufa ni tofauti na akiwa hai kwa sababu ya kuondoka kwa "udhana". (one can feel the weight much more)
5. "Vyana" (huzuia kuharibika au kuoza na vyana inapoondoka mtu huanza kuharibika vyana inaweza kuwa hai ndani ya siku 14 tangu mtu anapokufa.

Baadhi ya jamii huchelewesha kuzika ili hatua hizo kupita kwa ukamilifu au imani kuwa huenda anaweza akarudi.
Mtu anapokufa anakuwa ameachana na mwili wake 'disembodied'.

Inawezekana wakati mwingine roho ya mtu kuzunguka nje ya mwili na tunapouzika ardhi au kuuteketeza mwili tutakuwa tumeipotezea roho husika mazingira yake na hii ni kwa faida ya aliyekufa na walio hai.

images (21).jpeg
 
Hivi mpaka leo mnaamini binadamu ana roho? Ati akifa inaenda kwa baba😂😂 Sasa roho mnasema ndio iletayo uhai kwenye mwili wkt mtu akizibwa pumzi chali, akinyimwa chakula chali,akidufuliwa moyo chali!! Mnahitaji nini kujua mwili ukiwa ktk shughuli zake ndio uhai wenyewe na sio hiyo dhana ya kiroho?

Uoga wa binadamu kujihisi kuwa anaroho ni hofu ya kuwa nikifa nakwenda wapi..? Ila hajiulizi kabla sijazaliwa nilikuwa wapi!

Sisi ni ufahamu ukifa nothing is going on zaidi ya funza kujilingia nyama yako tamu au kukukasirikia nyama yako chungu hukula vinono wkt ukiwa hai!

Na chaajabu mwanadamu huwa anajihisi yeye tu ndio hua anahiyo roho ila viumbe vyengine kama panzi ati havina roho!! Wkt ukiangalia process za ng'ombe na binadamu ni zilezile!

Naweza sema ufahamu pia upo ktk evolution kuna muda mwanadamu atakuja kuacha hizi zana na historia yetu itakuja kusomwa huko kama binadamu waliokuwa wakiiamini imani za kiroho!

Time Will tell.
 
Hivi mpaka leo mnaamini binadamu ana roho? Ati akifa inaenda kwa baba😂😂 Sasa roho mnasema ndio iletayo uhai kwenye mwili wkt mtu akizibwa pumzi chali, akinyimwa chakula chali,akidufuliwa moyo chali!! Mnahitaji nini kujua mwili ukiwa ktk shughuli zake ndio uhai wenyewe na sio hiyo dhana ya kiroho?

Uoga wa binadamu kujihisi kuwa anaroho ni hofu ya kuwa nikifa nakwenda wapi..? Ila hajiulizi kabla sijazaliwa nilikuwa wapi!

Sisi ni ufahamu ukifa nothing is going on zaidi ya funza kujilingia nyama yako tamu au kukukasirikia nyama yako chungu hukula vinono wkt ukiwa hai!

Na chaajabu mwanadamu huwa anajihisi yeye tu ndio hua anahiyo roho ila viumbe vyengine kama panzi ati havina roho!! Wkt ukiangalia process za ng'ombe na binadamu ni zilezile!

Naweza sema ufahamu pia upo ktk evolution kuna muda mwanadamu atakuja kuacha hizi zana na historia yetu itakuja kusomwa huko kama binadamu waliokuwa wakiiamini imani za kiroho!

Time Will tell.
KENZY,
Hoja nzuri ila unajipinga Mkuu.
Unaelewa dhana ya Duality state of being?

Nitarudi baadae. Ngoja nisubiri majibu
 
Huu Uzi Bila Dr Mshana Kutia neno sitauelewa. Its must be certified by him
 
Hivi mpaka leo mnaamini binadamu ana roho? Ati akifa inaenda kwa baba Sasa roho mnasema ndio iletayo uhai kwenye mwili wkt mtu akizibwa pumzi chali, akinyimwa chakula chali,akidufuliwa moyo chali!! Mnahitaji nini kujua mwili ukiwa ktk shughuli zake ndio uhai wenyewe na sio hiyo dhana ya kiroho?

Uoga wa binadamu kujihisi kuwa anaroho ni hofu ya kuwa nikifa nakwenda wapi..? Ila hajiulizi kabla sijazaliwa nilikuwa wapi!

Sisi ni ufahamu ukifa nothing is going on zaidi ya funza kujilingia nyama yako tamu au kukukasirikia nyama yako chungu hukula vinono wkt ukiwa hai!

Na chaajabu mwanadamu huwa anajihisi yeye tu ndio hua anahiyo roho ila viumbe vyengine kama panzi ati havina roho!! Wkt ukiangalia process za ng'ombe na binadamu ni zilezile!

Naweza sema ufahamu pia upo ktk evolution kuna muda mwanadamu atakuja kuacha hizi zana na historia yetu itakuja kusomwa huko kama binadamu waliokuwa wakiiamini imani za kiroho!

Time Will tell.
Unajidanganya sana..

Wacha kupinga pinga usivovijua

Siku roho ikikutoka ndio utaelewa

Time Will Tell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni suala la kusikiliza kwa karibu asili sijakuambia nini, haipo haja ya kutafuta maarifa mapana sana kuelewa chanzo cha uhai wako na mwisho wake.
Jisusikilize taratibu utabaini fungi na ukweli.
 
Wewe hiyo roho ilishakutoka..?
Kama ilishawahi kukutoka it means ulikufa!,hivyo ulifufuka sivyo..?
Kama haijawahi kukutoka umejuaje kuwa unayo roho...?
Mkuu jaribu kuisikiliza asili yako vizuri utaelewa
Kifo na uhai ni kitu kimoja " ni kitu kilekile" kama una nafahamu unaishi basi kufahamu juu ya kutokuishi siyo jambo la kushangaza au linalohitaji miujiza kuelewa.
Jifunze kwenye mambo unayoyaona ya kawaida kuelewa unayoyaona siyo ya kawaida,unafahamu unapopumua kwa kutoa hewa nje "breath out" ni kifo na unapovuta hewa ndani "breath in" ni uhai
.? Kama una pumua jua kufa na kuishi ni jambo lile lile na unakifanya kila nukta "fuatilia upumuaji wako na kapige ya moyo wako".
Kifo siyo jambo la kustaajabisha sana au jambo tofauti sana na uhai "death and life are so interconnected".
Kukataa kufa au kuzingumzia kifo hakumaanisho hautakufa "ukweli ni kwamba tutakuwa tu ni suala la muda".
 
Back
Top Bottom