Mwigulu Usijisahau Ukaisahau Iramba

Mwigulu Usijisahau Ukaisahau Iramba

mkuu huyu jamaa angepigwa chini bila ubishi kama asingeingiza mabox ya kura ambayo alishajiwekea tiki. Yani huyu alijichagua mwenyewe hakuchaguliwa na wana Iramba
ndio maana nikaandika hapo juu kuwa:mwigulu alishinda kihali 2010 tu,ila 2015 dola ilimshindisha,ikichagizwa na ile hukumu ya mita 200,wananchi walipo lazimishwa kulala saa 11 jioni uku magari ya halmashauri ya iramba yakiingia na kutoka vituoni yakileta mabox yenye tiki,na kuyaondosha mengine,na mchezo aliucheza katika zile kata alizo pita yule dada mwenye sumu kali zaidi ya cobra Jesica Kishoa
 
Huko si ndo mnakula viwavi? Si rahisi nyie kuiadhibu CCM ndo maana haiwaheshimu
mkuu uko ni dodoma katika jimbo la lusinde na kule jimbo la kongwa!
Uku niliko ni Singida,Wilaya ya Iramba,Jimbo la Iramba!
 
12321531_1583303475293156_2879918162930401151_n.jpg
aya
 
sio yy tu hata huko jimboni kwangu nasikia mbunge wetu haonekani wanaichi wamezama na wengine kupoteza mali zao kwa mafuriko yy anakula bata daslam hapa.nasikia kuna mtoto shombe shombe toka somalia amemkamatia ATM zake
 
sio yy tu hata huko jimboni kwangu nasikia mbunge wetu haonekani wanaichi wamezama na wengine kupoteza mali zao kwa mafuriko yy anakula bata daslam hapa.nasikia kuna mtoto shombe shombe toka somalia amemkamatia ATM zake
Mbunge wa wapi huyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom