Mwigulu ndani ya mjengo - kweli sasa umeuona ukweli

SULEIMAN ABEID

JF-Expert Member
Feb 26, 2013
390
385
Hongera mwigulu nchemba !

waswahili wanasema, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

ukweli alichokizungumza mida hii, mwigulu nchemba anaonesha wazi kubadilika na hivi sasa anaamua kuzungumza ukweli.

tuwashauri wabunge wengine wamuunge mkono kwa dhati, kikubwa tu huko mbele asibadilike, ukweli aliousema ndiyo watanzania wote wanaouhitaji, tukubali wahusika wote wachukuliwe hatua za kutozwa kodi walizopaswa kulipa kutokana na mshiko waliopewa.

hata hivyo wasiache kujadili hatua za kuwachukulia kwa kosa la kupokea mapato yenye mashaka wakiwa viongozi na watumishi wa umma kinyume na maadili ya umma.
 
Viongozi wote waandamizi wa umma wahojiwe LIVE, walifanya kazi gani za PAP wakati wanatakiwa wawe FULL TIME katika kazi za Serikali? Na Income Tax, kwanini hawajalipa, Wapigwe 50% Tax na Riba juu.

Je waliitarifu kamati ya Maadili? Na kujaza Fomu za Bunge, haswa bwana Chenge - Jizi lililokubuhu. Wapigwe chini wote.
 
Unajua, siku zote nilidhani Mwigulu ni hodari katika nyanja za my wife za watu tu. Ninahisi ile ilikuwa ni midlife crisis inamsumbua. Siku hizi ameanza kuni-impress sana, na sikutegemea hili. Kukiwa na watu kumi kama Mwigulu katika CCM nchi hii itaenda mbali sana.

Naanza kuona Mwigulu kama candidate mzuri wa Uraisi miaka kumi ijayo, atakapokuwa amepevuka na kuwa na busara hata zaidi. Ila ushauri wa bure kwa Mwigulu ni kwamba jaribu kuwavumilia watu wa Vyama vya Upinzani. Kumbuka kwamba nchi yetu inahitaji vyama vya upinzani ili kutoa changamoto kwa chama kilichopo madarakani. Wao sio maadui wa maendeleo, bali ni kiungo muhimu katika utendaji wa serikali.

Natamani sana tungefahamiana kwa ukaribu zaidi, kwani naona kufikiri kwetu kwa ajili ya nchi yetu kunafanana sana.
 
Kesho ndio mwisho wa kujiandikisha kwenye daftar la mkazi ili watu waweze kuwachagua wajumbe 6 wa mtaa na mwenyekiti wa mtaa................huhitaji kubeba kitambulisho chochote ili uweze kuandikishwa pale kwenye ofisi ya mtendaji katika kata yako.


Chukua hatua wajulishe wengine wengi walio makazini hawajui....FROM KAWE
 
Viongozi wote waandamizi wa umma wahojiwe LIVE, walifanya kazi gani za PAP wakati wanatakiwa wawe FULL TIME katika kazi za Serikali? Na Income Tax, kwanini hawajalipa, Wapigwe 50% Tax na Riba juu.

Je waliitarifu kamati ya Maadili? Na kujaza Fomu za Bunge, haswa bwana Chenge - Jizi lililokubuhu. Wapigwe chini wote.

Chenge kazoea kula hela za wanyonge hii kwake ni kawaida tu mbona! Tena kwa kuvidharau vihela vyenyewe husema, " VIJISENTI TU HIVYO".
 
Hongera mwigulu nchemba !

waswahili wanasema, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

ukweli alichokizungumza mida hii, mwigulu nchemba anaonesha wazi kubadilika na hivi sasa anaamua kuzungumza ukweli.

tuwashauri wabunge wengine wamuunge mkono kwa dhati, kikubwa tu huko mbele asibadilike, ukweli aliousema ndiyo watanzania wote wanaouhitaji, tukubali wahusika wote wachukuliwe hatua za kutozwa kodi walizopaswa kulipa kutokana na mshiko waliopewa.

hata hivyo wasiache kujadili hatua za kuwachukulia kwa kosa la kupokea mapato yenye mashaka wakiwa viongozi na watumishi wa umma kinyume na maadili ya umma.

Go go go Mwigulu; you are gradually winning back the hearts and minds of well meaning Tanzanians; tulikotoka ni wehu tu kama Kibajaj Lusinde mbunge wa Mtera ndio walikuwa wanapoteza muda wao kukusikiliza; Kosa sio kufanya kosa; bali kosa ni kurudia kosa ukifahamu kuwa awali ulitenda makosa. A big up Mwigulu Lameck Nchemba.#bringbackourmoney
 
Unajua, siku zote nilidhani Mwigulu ni hodari katika nyanja za my wife za watu tu. Ninahisi ile ilikuwa ni midlife crisis inamsumbua. Siku hizi ameanza kuni-impress sana, na sikutegemea hili. Kukiwa na watu kumi kama Mwigulu katika CCM nchi hii itaenda mbali sana.

Naanza kuona Mwigulu kama candidate mzuri wa Uraisi miaka kumi ijayo, atakapokuwa amepevuka na kuwa na busara hata zaidi. Ila ushauri wa bure kwa Mwigulu ni kwamba jaribu kuwavumilia watu wa Vyama vya Upinzani. Kumbuka kwamba nchi yetu inahitaji vyama vya upinzani ili kutoa changamoto kwa chama kilichopo madarakani. Wao sio maadui wa maendeleo, bali ni kiungo muhimu katika utendaji wa serikali.

Natamani sana tungefahamiana kwa ukaribu zaidi, kwani naona kufikiri kwetu kwa ajili ya nchi yetu kunafanana sana.

Badala ya kuendeleza bussness as usual za wengi waliopo CCM, atleast Mwigulu anaonyesha anaweza kufanya mabadiliko:Huyu anafaa 2015 hakuna haja ya kusubirisubiri kwa hawa wasioonyesha lolote.

1. Tofauti na wengi wa CCM, Mwigulu ana maamuzi yasiyo na kigugumizi na yasiyo ya kurembana rembana, yale ya wenzetu huyu..
2. Na tofauti na Lowassa, Mwigulu bado hana ufisadi ndani yake, hivyo hana cha kujilinda wala cha marafiki mafisadi wa kuwalinda.
 
Hongera mwigulu nchemba !

waswahili wanasema, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

ukweli alichokizungumza mida hii, mwigulu nchemba anaonesha wazi kubadilika na hivi sasa anaamua kuzungumza ukweli.

tuwashauri wabunge wengine wamuunge mkono kwa dhati, kikubwa tu huko mbele asibadilike, ukweli aliousema ndiyo watanzania wote wanaouhitaji, tukubali wahusika wote wachukuliwe hatua za kutozwa kodi walizopaswa kulipa kutokana na mshiko waliopewa.

hata hivyo wasiache kujadili hatua za kuwachukulia kwa kosa la kupokea mapato yenye mashaka wakiwa viongozi na watumishi wa umma kinyume na maadili ya umma.
mimi mwigulu nilianza kummkubali baada ya kupewa unaibu waziri kiukweli ana maono ya mbali na nchi hii,ila nasikitika pale ccm wanaweza kumdumazaa iliasishike uongozi wa juu wa nchi hii
ila akivaa yale manguo yake ya kijani uwa anakuwa mwehuu mwehuu tu
 
Hongera mwigulu nchemba !

waswahili wanasema, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

ukweli alichokizungumza mida hii, mwigulu nchemba anaonesha wazi kubadilika na hivi sasa anaamua kuzungumza ukweli.

tuwashauri wabunge wengine wamuunge mkono kwa dhati, kikubwa tu huko mbele asibadilike, ukweli aliousema ndiyo watanzania wote wanaouhitaji, tukubali wahusika wote wachukuliwe hatua za kutozwa kodi walizopaswa kulipa kutokana na mshiko waliopewa.

hata hivyo wasiache kujadili hatua za kuwachukulia kwa kosa la kupokea mapato yenye mashaka wakiwa viongozi na watumishi wa umma kinyume na maadili ya umma.
Kasema nini? Au ni siri yako
 
Viongozi wote waandamizi wa umma wahojiwe LIVE, walifanya kazi gani za PAP wakati wanatakiwa wawe FULL TIME katika kazi za Serikali? Na Income Tax, kwanini hawajalipa, Wapigwe 50% Tax na Riba juu.

Je waliitarifu kamati ya Maadili? Na kujaza Fomu za Bunge, haswa bwana Chenge - Jizi lililokubuhu. Wapigwe chini wote.

mkuu hilo jamaa nikilisikiaga natamani nijipigize chini kwa hasira ananyonya jasho letu walipa kodi kama za kwake vile.
 
Ole sendeka ni jembe lililokulia na kuokwa kikamilifu ndani ya tanuru madhubuti la uvccm enzi hizo uvccm inatisha.songa mbele kaka vyama vitapita tanzania itabaki milele.wabunge wetu wekeni unafiki ubinafsi kando nchi itaangamia mtajibu nn kwa mungu baba?
 
Hii inshu ni utakatishaji wa pesa kabisa sasa hayo anayoyataja mwigulu ni kuwakinga watu na jinai ya utakatishaji wa pesa toka mwanzo hili swala ni haramu toka mwanzo sasa wanataka kuihalalisha
 
Unajua, siku zote nilidhani Mwigulu ni hodari katika nyanja za my wife za watu tu. Ninahisi ile ilikuwa ni midlife crisis inamsumbua. Siku hizi ameanza kuni-impress sana, na sikutegemea hili. Kukiwa na watu kumi kama Mwigulu katika CCM nchi hii itaenda mbali sana.

Naanza kuona Mwigulu kama candidate mzuri wa Uraisi miaka kumi ijayo, atakapokuwa amepevuka na kuwa na busara hata zaidi. Ila ushauri wa bure kwa Mwigulu ni kwamba jaribu kuwavumilia watu wa Vyama vya Upinzani. Kumbuka kwamba nchi yetu inahitaji vyama vya upinzani ili kutoa changamoto kwa chama kilichopo madarakani. Wao sio maadui wa maendeleo, bali ni kiungo muhimu katika utendaji wa serikali.

Natamani sana tungefahamiana kwa ukaribu zaidi, kwani naona kufikiri kwetu kwa ajili ya nchi yetu kunafanana sana.


Hata huyu tuliye nae alipata kuwa Nchemba enzi zake
 
Back
Top Bottom