leroy
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,622
- 2,220
Wanajamii kwanza niambatanishe Ushahidi wa kauli ya Mh. Nchemba HAPA.
Nasikitika namna Mh. Mwigulu anavyoidanganya jamii, kuna mambo mawili anayoyabainisha.
La kwanza: Kwamba yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kwa maana alipata G.P.A. ya kiwango cha first class (4.4-5).
La pili: Kwamba yeye ni alikua mchumi mwandamizi (Senior Economist) wa Benki kuu.
UKWELI NI UPI??
La kwanza.
Kwenye digrii ya kwanza Hakuwahi kupata first class. Mwigulu Nchemba alianza degree ya Uchumi UDSM mwaka 2001 na kumaliza mwaka 2004. Katika darasa lao kulikua na FIRST CLASS MOJA TU! Aliipata Mkenya anayeitwa George Omondi, na alipata 4.4. Mwigulu alipata Upper Second Class na Darasani alikuwa wa kawaida sana, wapo waliokuwa wakimzidi (Mmoja wao alibakizwa kufundisha UDSM).
Kwenye digrii ya pili napo hakuwahi kupata first class.
La pili.
Hakuwahi kuwa mwandamizi wa Benki kuu. Mwigulu alikuwa mwajiriwa wa Benki kuu tawi la Arusha hadi anaondoka. Akiwa Benki kuu HAKUWAHI KUWA MCHUMI MWANDAMIZI. Aliondoka akiwa mchumi wa daraja la kwanza (Ikumbukwe wengi huajiriwa kama wachumi daraja la pili na kupanda hutegemea umri kazini).
Nawasilisha.
Nasikitika namna Mh. Mwigulu anavyoidanganya jamii, kuna mambo mawili anayoyabainisha.
La kwanza: Kwamba yeye ni mchumi wa daraja la kwanza kwa maana alipata G.P.A. ya kiwango cha first class (4.4-5).
La pili: Kwamba yeye ni alikua mchumi mwandamizi (Senior Economist) wa Benki kuu.
UKWELI NI UPI??
La kwanza.
Kwenye digrii ya kwanza Hakuwahi kupata first class. Mwigulu Nchemba alianza degree ya Uchumi UDSM mwaka 2001 na kumaliza mwaka 2004. Katika darasa lao kulikua na FIRST CLASS MOJA TU! Aliipata Mkenya anayeitwa George Omondi, na alipata 4.4. Mwigulu alipata Upper Second Class na Darasani alikuwa wa kawaida sana, wapo waliokuwa wakimzidi (Mmoja wao alibakizwa kufundisha UDSM).
Kwenye digrii ya pili napo hakuwahi kupata first class.
La pili.
Hakuwahi kuwa mwandamizi wa Benki kuu. Mwigulu alikuwa mwajiriwa wa Benki kuu tawi la Arusha hadi anaondoka. Akiwa Benki kuu HAKUWAHI KUWA MCHUMI MWANDAMIZI. Aliondoka akiwa mchumi wa daraja la kwanza (Ikumbukwe wengi huajiriwa kama wachumi daraja la pili na kupanda hutegemea umri kazini).
Nawasilisha.