Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,624
Kazi kweli
Katika watu ambao hawafia kuaminika kwa jambo lolote ni huyo nchemba, yeye na wale vibaraka wake hawaoni hatari kumsingizia mtu asiyeweza hata kupata ugali wa kila siku kuwa bi gaidi.Wakati nasoma hio mistari nikakuta machozi yananitoka, who is next ???
Si ww tu,wengi wanajua hivoAlipoteuliwa kuwa waziri wa wizara hii,ilinipa shaka moja kwa moja ,tabia zake na matendo yake ya nyuma ,nilihisi kuna kitu kitakuja kuwa kibaya sana chini ya wizara hii,na bado,sababu,huyu jamaa anafanya na kutamka mambo bila kujua what's is the impacts, na wenzake wanampatia vyeo kwa sababu ndio anaonekana in strategic murder wao
TrickyBarafu ebu ni PM majina yako kamili niingie Western Union, Moneygram am a Ria nikutumie kitu kidogo
Hawezi kubadilika, huyu ni mchunga ng'ombe kama wachunga wengine, ushauri wao hadi wagongwe na nyoka ndio akili inamkaa sawaNinaamini atabadilika,na akibadilika...Basi anaweza kuja kuwa mwanasiasa wa kiwango bora kwa siku za baadae.
Apunguze "Political Arrogance" zisizo na maana!!Aendeshe siasa za umoja na upendo na sio visasi na maudhi
He must be in custody for further investigation
Tunaomba maelezo,kwa nini ahusishwe yeye tuHahaha eti Waziri wa mambo ya ndani ?
Ile namba usipigeHe must be in custody for further investigation