hili halina ubishi chadema wameua mwanairamba, wamekwenda iramba kwa ajili ya hasira baada ya mbunge wa iramba kuwaumbua kuhusu bajeti aliyoichana na kuitupa kuwa ilikuwa takataka na kuwaumbua ukabila kuwa wanakaa bungen kama sebulen kama wako kwenye kikao cha uko; pia na gari alilochukua kiongoz wa kambi ya upinzan kinyemela