Mwigulu Nchemba ni Simba anaeunguruma

Mwigulu Nchemba ni Simba anaeunguruma

Joined
Jan 2, 2015
Posts
87
Reaction score
33
Baada ya kutafakari kwa kina harakati na mienendo ya Mwigulu nchemba naibu katibu mkuu ccm bara na naibu waziri wa fedha nimegundua mwanaume Huyu ni simba. ....

Kwanza nikiri hana uadui na mtu yoyote na kwa mbali inaaminika ni Left wing wa lowasa au chaguo namba mbili iwapo lowasa ataenguliwa jina lake kamati kuu...basi atamuunga mkono mwigulu nchemba. ...

Misimamo yake maisha yake mbinu zake na harakati zake zimemfanya kua mwanasiasa mwenye nguvu katika wakati mfupi tuu. ..

Amejizolea umaarufu mkubwa katika taifa hili na kuonekana ni mwiba nje ya ccm kwa wapinzani na ndani ya ccm kwa wasaka URAIS

Hofu ya mwigulu kuingia ikulu imetanda katika kila moyo wa mwanaccm na mioyoni mwa watanzania wengi huku wengine wakiona kama miujuza

Wapo wanaohaha kujaribu kuzima moto huo lakini wanakutana na roho ngumu Yahoo mwigulu nchemba harudi nyuma wala hapunguzi ni mapambano makali ni vita nzito....

Nitumie nafasi hii kuwatakia kila la heri wanaoshinda stationary kutengeneza vyeti feki na barua feki mwisho mtapata raisi feki anaewatuma kufanya hivyo

Wanyiramba tunasema SONGERA ZIGIZIGI....

1421836810493.jpg
 
Hahahahahaahhahahahaahah mwiguli pasua kichwa aisee anawatesa wasaka uraisi balaaa
 
Simba wa vita ya uraisi ameunguruma okampo kavaa pampasi bize mikocheni stationary kutengeneza vyeti feki
wala mimi sipi Dar es Salaa mkuu kwaiyo hayo ya Mikocheni siyajui na ni uongo mkubwa.........Leo hii Mwigulu na wapambe wake wanakuwa na authority gani kuchallage Transcript ya UDSM.....alikuwa wapi tokea awali kama issue ya umri ilikosewa? Na kama aliripoti copy ya pili ikowapi?
 
baada ya kutafakari kwa kina harakati na mienendo ya mwigulu nchemba naibu katibu mkuu ccm bara na naibu waziri wa fedha nimegundua mwanaume hutu ni simba. ....

Kwanza nikiri hana uadui na mtu yoyote na kwa mbali inaaminika ni left wing wa lowasa au chaguo namba mbili iwapo lowasa ataenguliwa jina lake kamati kuu...basi atamuunga mkono mwigulu nchemba. ...

Misimamo yake maisha yake mbinu zake na harakati zake zimemfanya kua mwanasiasa mwenye nguvu katika wakati mfupi tuu. ..

Amejizolea umaarufu mkubwa katika taifa hili na kuonekana ni mwiba nje ya ccm kwa wapinzani na ndani ya ccm kwa wasaka urais

hofu ya mwigulu kuingia ikulu imetanda katika kila moyo wa mwanaccm na mioyoni mwa watanzania wengi huku wengine wakiona kama miujuza

wapo wanaohaha kujaribu kuzima moto huo lakini wanakutana na roho ngumu yahoo mwigulu nchemba harudi nyuma wala hapunguzi ni mapambano makali ni vita nzito....

Nitumie nafasi hii kuwatakia kila la heri wanaoshinda stationary kutengeneza vyeti feki na barua feki mwisho mtapata raisi feki anaewatuma kufanya hivyo

wanyiramba tunasema songera zigizigi....

View attachment 220381

hili ni gaidi na muuaji tu. Huoni alivyotuvalia hiyo kofia ya kichina yenye nembo, nyota ya kichina? Huyu sawa na addi amin wa uganda tu.
 
Weka vyeti vyake halisi hapa. Tumewachoka na uongo wenu wa majina,shahada na umri. Mmekwama mwaka huu
well said Mkuu........kama UD walikosea swala la umri alikuwa wapi muda wote kuomba libadilishwe........Na kama ni kweli ana umri huo basi alidanganya kipindi anagombea Uvccm years back
 
wala mimi sipi Dar es Salaa mkuu kwaiyo hayo ya Mikocheni siyajui na ni uongo mkubwa.........Leo hii Mwigulu na wapambe wake wanakuwa na authority gani kuchallage Transcript ya UDSM.....alikuwa wapi tokea awali kama issue ya umri ilikosewa? Na kama aliripoti copy ya pili ikowapi?

1421837393409.jpg


Unazungumzia hii transicrpt ya kutengeneza hapa bado hamjaweka umri na picha yake mkuu

Hapa chini mmeweka jina na picha wajinga saana nyie mhuuu....

1421837571995.jpg
Kazi ya mikocheni stesheni tumefika tumeona ujinga wote huu ocampo
 
Kuna hoja nyingi ambazo Mwigulu hajazijibu nakuwekea hapa wewe mleta mada umsaidie kujibu.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...lu-nchemba-na-kashifa-ya-kudanganya-umri.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ba-njoo-ujibu-maswali-mawili-haya-muhimu.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...taka-asitishe-ziara-zake-zote-za-mikoani.html

attachment.php


Historia ya jina la mwigulu nchemba
Lameck mkumbo madelu ni jina halisi la mh mwigulu nchemba.akiwa anasoma shule ya msingi makunda kata ya kyengege tarafa ya kinampanda wilaya ya iramba mkoa wa singida mh lameck mkumbo madelu alifeli mtihani wa taifa drs la saba,baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya kyengege..lililokuwa linajumuisha shule za makunda,mgundu na kyengege yenyewe.kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi mwigulu nchemba(msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa drs la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo.ndipo mwl malumbi alipoweza kumuuzia jina la mwigulu nchemba bwana lameck mkumbo madelu.baada ya kurudia masomo bwana lameck alifaulu kwa kutumia jina la mwigulu nchemba lakini baadae akiwa secondary aliliongeza likawa mwigulu lameck nchemba

source.admission books
1.makunda primary
2.darasa la kata kyengege
3.ilboru secondary
4.Wakazi wa makunda
 
Upepo wa kisiasa kwa sasa umekaa vizuri zaidi ya kwa Hon Mwigulu Nchemba kuliko mwanasiasa yeyote katika nchi ya Tanzania. ; Tathimini ya duru za kisiasa zinaonesha kuwa ule umoja wa wasaka Tonge umepigwa dhoruba kali ya kisiasa na sasa hauna cha kusema tena mbele ya Watanzania.
 
View attachment 220384


Unazungumzia hii transicrpt ya kutengeneza hapa bado hamjaweka umri na picha yake mkuu

Hapa chini mmeweka jina na picha wajinga saana nyie mhuuu....

View attachment 220386
Kazi ya mikocheni stesheni tumefika tumeona ujinga wote huu ocampo
Hahahha mnachekesha sana mkuu.......kwanza kabisa punguza kutoa povu kwa kutukana, utakula ban bure, mimi mwenyewe nimetoka kifungoni saizi, kwaiyo sitaki ule ban........pili hiyo Transcript ni vijana wake ndiyo walikuwa wanajaribu kupotosha umma ya kwamba imetengenezwa na watu fulani.........

Noamba tusiandikie mate wakati wino upo, details zaidi zitatoka Ud kusapoti hilo kama hiyo Transcript yao bado hamuiamini..............kila kitu kitakuwa wazi with more findings.....
 
Juu walikua wanawaza waweke jina gani chini wakaamua kuweka la mwigulu mtakoma na vyeti vyenu feki
 
Hahahha mnachekesha sana mkuu.......kwanza kabisa punguza kutoa povu kwa kutukana, utakula ban bure, mimi mwenyewe nimetoka kifungoni saizi, kwaiyo sitaki ule ban........pili hiyo Transcript ni vijana wake ndiyo walikuwa wanajaribu kupotosha umma ya kwamba imetengenezwa na watu fulani.........

Noamba tusiandikie mate wakati wino upo, details zaidi zitatoka Ud kusapoti hilo kama hiyo Transcript yao bado hamuiamini..............kila kitu kitakuwa wazi with more findings.....

Janja yenu yoote mwisho mikocheni we cheka cheka jishebedue wee mikocheni stationary at work
 
Back
Top Bottom