Mwigulu Nchemba na BOT hatimaye na EPA

Mwigulu Nchemba na BOT hatimaye na EPA

Mkwawa

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
1,334
Reaction score
1,466
Mwigulu Nchemba habari za leo habari za kazi.
Kwa sababu wewe ni mchumi na umewahi kufanya kazi BOT naomba utusaidia mambo mawili matatu.

1. EPA ni nini
2. Wizi wa EPA ulianza mwaka gani na ulikwisha mwaka gani
3. Je ili kuweza kuiba fedha BOT na akaunti zake mfanyakazi anatakiwa awe kitengo gani, cheo gani??
4. Ukaguzi wa mahesabu uliohusisha ugunduzi wa EPA wa mwaka 2005 na 2006 ni nani walihusika ndani ya BOT
5. kazi zako ndani ya BOT zilikuwa ni zipi?
6. Mambo gani unaweza kujivunia uliyafanya BOT kwa faida ya BOT na nchi yako.
7. Ni kweli kuna uhusiano wa kisiasa na baadhi ya wafanyakazi wa BOT
8. Je ni kweli vyama vya siasa vinaweza kupewa fedha na BOT
9. Kaguzi za nyuma za kifedha za BOT na akaunti zake kama 2003 2004 na zile za mbele kama 2007, 2008, 2009 zinawizi wa fedha za umma ndani ya BOT
Je wanaohusishwa na upotevu wa fedha za BOT, EPA, Minara pacha nk walikuwa wenyewe au kuna watu waliokuwa nyuma yao.

Kwa kutumia udhoefu wako wa kibenk na BOT tunaomba mwongozo.
 
Mwigulu Nchemba habari za leo habari za kazi.
Kwa sababu wewe ni mchumi na umewahi kufanya kazi BOT naomba utusaidia mambo mawili matatu.

1. EPA ni nini
2. Wizi wa EPA ulianza mwaka gani na ulikwisha mwaka gani
3. Je ili kuweza kuiba fedha BOT na akaunti zake mfanyakazi anatakiwa awe kitengo gani, cheo gani??
4. Ukaguzi wa mahesabu uliohusisha ugunduzi wa EPA wa mwaka 2005 na 2006 ni nani walihusika ndani ya BOT
5. kazi zako ndani ya BOT zilikuwa ni zipi?
6. Mambo gani unaweza kujivunia uliyafanya BOT kwa faida ya BOT na nchi yako.
7. Ni kweli kuna uhusiano wa kisiasa na baadhi ya wafanyakazi wa BOT
8. Je ni kweli vyama vya siasa vinaweza kupewa fedha na BOT
9. Kaguzi za nyuma za kifedha za BOT na akaunti zake kama 2003 2004 na zile za mbele kama 2007, 2008, 2009 zinawizi wa fedha za umma ndani ya BOT
Je wanaohusishwa na upotevu wa fedha za BOT, EPA, Minara pacha nk walikuwa wenyewe au kuna watu waliokuwa nyuma yao.

Kwa kutumia udhoefu wako wa kibenk na BOT tunaomba mwongozo.

mpunguzie maswali kuanzia la 7, hayo yana-dilute maswali ya awali.
Ingawa hivyo hawezi kuyajibu hayo maswali.
 
Atakuja kuangalia km kuna typing error maaba ndiyo anachokijua na alichokibobea kwenye usomi wake wa uchumi
 
kapewa mahela kibao toka BOT na ndulu kwenda kupendezesha jimbo lake bila uhalali na prof beno gavana
mpaka proposal yake ninayo ukiitaka mnyika nitakupa ni inbox tu kwan kachota pesa nyingi sana bila uhalali na pia kafungua kiwanda kikubwa uchapaji nyalaka na magazeti pale mwenge kachota mapesa yote BOT

NA MENGI SANA JUU YA HUYU, hila kaniboaaaa sana na hoja zake za sasa hivi ni fisadi kweli mnyika ukiitaji nyongeza nitakupatia
 
Mkuu endelea kufunguka hii ni nyeti sana,ndio maana kijana kapagawa kwa dharau mpaka viongozi wa bunge wanaogopa kumkemea anapokuwa anaongea upuuzi na matusi bungeni!
kapewa mahela kibao toka BOT na ndulu kwenda kupendezesha jimbo lake bila uhalali na prof beno gavana
mpaka proposal yake ninayo ukiitaka mnyika nitakupa ni inbox tu kwan kachota pesa nyingi sana bila uhalali na pia kafungua kiwanda kikubwa uchapaji nyalaka na magazeti pale mwenge kachota mapesa yote BOT

NA MENGI SANA JUU YA HUYU, hila kaniboaaaa sana na hoja zake za sasa hivi ni fisadi kweli mnyika ukiitaji nyongeza nitakupatia
 
mi sina chama lakini swali kama hili ungewauliza vigogo wenyewe madaraka ya juu
 
kapewa mahela kibao toka BOT na ndulu kwenda kupendezesha jimbo lake bila uhalali na prof beno gavana
mpaka proposal yake ninayo ukiitaka mnyika nitakupa ni inbox tu kwan kachota pesa nyingi sana bila uhalali na pia kafungua kiwanda kikubwa uchapaji nyalaka na magazeti pale mwenge kachota mapesa yote BOT

NA MENGI SANA JUU YA HUYU, hila kaniboaaaa sana na hoja zake za sasa hivi ni fisadi kweli mnyika ukiitaji nyongeza nitakupatia

Nyalaka ndio kitu gani? Inaonekana wewe ni 0
 
kapewa mahela kibao toka BOT na ndulu kwenda kupendezesha jimbo lake bila uhalali na prof beno gavana
mpaka proposal yake ninayo ukiitaka mnyika nitakupa ni inbox tu kwan kachota pesa nyingi sana bila uhalali na pia kafungua kiwanda kikubwa uchapaji nyalaka na magazeti pale mwenge kachota mapesa yote BOT

NA MENGI SANA JUU YA HUYU, hila kaniboaaaa sana na hoja zake za sasa hivi ni fisadi kweli mnyika ukiitaji nyongeza nitakupatia

Lengo ni kujua ukweli, kwa hiyo kama unazo hizo nyaraka zitume kwa John ili zitumike, pia usiwe kama Mwakyembe alosema mengi ameyaacha kwa makusudi.
 
Kwani Mwigulu na Hadija Kopa wana tofauti gani? Mmoja anaimba mipasho TOT
na mwingine anatoa mipasho ndani ya Bunge, sioni tofauti kati yao!
 
Hawezi kujibu hayo maswali ata kwambia umekosea kuya wekea namba.
 
QUOTE=hans79;4181449]Unatakiwa uelewe nini maana ya mwandisi zaidi ya hapo upingalo silo?ndo mana pana ufutio, au nao hujui ni wa nini?[/QUOTE

Ndio walewale wanaokuja kwa ajili ya kuangalia typing errors tu!
 
Mwigulu is among idiot mp in tz and ol over the world.among the people who needd 2 b kidnaped and sodomize itc diz guy not ulimboka!
 
kapewa mahela kibao toka BOT na ndulu kwenda kupendezesha jimbo lake bila uhalali na prof beno gavana
mpaka proposal yake ninayo ukiitaka mnyika nitakupa ni inbox tu kwan kachota pesa nyingi sana bila uhalali na pia kafungua kiwanda kikubwa uchapaji nyalaka na magazeti pale mwenge kachota mapesa yote BOT

NA MENGI SANA JUU YA HUYU, hila kaniboaaaa sana na hoja zake za sasa hivi ni fisadi kweli mnyika ukiitaji nyongeza nitakupatia

jamaa huyo lamec.si mkweli.najuta kuwa na mbunge kama huyu.hata mradi wa umeme ameukwepesha,ambao ulikuwa utoke kibaya ,usure,mbelekese,kikonge,kaselya.ameupeleka kwao makunda.'vijiji tajwa viko jimboni mwake. Sasa ashindwe hayo usemayo?.
 
napita tu....nitarudi mkirudi hapa na data zenye kueleweka za sakata la EPA, TWIN TOWER ECT
 
Nyalaka ndio kitu gani? Inaonekana wewe ni 0
Yaleyale ya Mwigulu, kujadili typing errors badala ya maudhui. Kwa kweli hali yenu ni mbaya maana midomo imewaponza na sasa Mnyika amepewa uwanja mpana wa kulitolea ufafanuzi swala la EPA na wahusika wake.
Labda muwahi kumpeleka Mabwepande.
 
Back
Top Bottom