Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,466
Mwigulu Nchemba habari za leo habari za kazi.
Kwa sababu wewe ni mchumi na umewahi kufanya kazi BOT naomba utusaidia mambo mawili matatu.
1. EPA ni nini
2. Wizi wa EPA ulianza mwaka gani na ulikwisha mwaka gani
3. Je ili kuweza kuiba fedha BOT na akaunti zake mfanyakazi anatakiwa awe kitengo gani, cheo gani??
4. Ukaguzi wa mahesabu uliohusisha ugunduzi wa EPA wa mwaka 2005 na 2006 ni nani walihusika ndani ya BOT
5. kazi zako ndani ya BOT zilikuwa ni zipi?
6. Mambo gani unaweza kujivunia uliyafanya BOT kwa faida ya BOT na nchi yako.
7. Ni kweli kuna uhusiano wa kisiasa na baadhi ya wafanyakazi wa BOT
8. Je ni kweli vyama vya siasa vinaweza kupewa fedha na BOT
9. Kaguzi za nyuma za kifedha za BOT na akaunti zake kama 2003 2004 na zile za mbele kama 2007, 2008, 2009 zinawizi wa fedha za umma ndani ya BOT
Je wanaohusishwa na upotevu wa fedha za BOT, EPA, Minara pacha nk walikuwa wenyewe au kuna watu waliokuwa nyuma yao.
Kwa kutumia udhoefu wako wa kibenk na BOT tunaomba mwongozo.
Kwa sababu wewe ni mchumi na umewahi kufanya kazi BOT naomba utusaidia mambo mawili matatu.
1. EPA ni nini
2. Wizi wa EPA ulianza mwaka gani na ulikwisha mwaka gani
3. Je ili kuweza kuiba fedha BOT na akaunti zake mfanyakazi anatakiwa awe kitengo gani, cheo gani??
4. Ukaguzi wa mahesabu uliohusisha ugunduzi wa EPA wa mwaka 2005 na 2006 ni nani walihusika ndani ya BOT
5. kazi zako ndani ya BOT zilikuwa ni zipi?
6. Mambo gani unaweza kujivunia uliyafanya BOT kwa faida ya BOT na nchi yako.
7. Ni kweli kuna uhusiano wa kisiasa na baadhi ya wafanyakazi wa BOT
8. Je ni kweli vyama vya siasa vinaweza kupewa fedha na BOT
9. Kaguzi za nyuma za kifedha za BOT na akaunti zake kama 2003 2004 na zile za mbele kama 2007, 2008, 2009 zinawizi wa fedha za umma ndani ya BOT
Je wanaohusishwa na upotevu wa fedha za BOT, EPA, Minara pacha nk walikuwa wenyewe au kuna watu waliokuwa nyuma yao.
Kwa kutumia udhoefu wako wa kibenk na BOT tunaomba mwongozo.