Mwigulu Nchemba, kunani!

Mwigulu Nchemba, kunani!

mwigilu mze wa matusi sidhani kwamb anauwezo wa kuongoza hata chekechea
 
Leo yupo Igunga pamoja na Juliana Shonza na Mtela Mwampamba, nadhani Ni katika mwendelezo WA ziara zake za kuelezea mafanikio ya utelezaji WA ilani ya ccm, jinsi alivyozuia upotevu WA mabilioni pale benk kuu nk.

Ni upotevu upi aliozuia pale BOT? Fedha za EPA alishiriki kuziiba ref. kauli ya Mnyika Bungeni, baada ya kuteuliwa unaibu waziri zimeibiwa Billion 200 je kati anachojinadi ameokoa na hicho alichoshiriki kukiiba kipi na kikubwa?
 
Media hype! Watu wanafanya abracadabra hadi kwenye mechi uwanja wa Taifa unafanya mchezo eeh? Umaarufu unatafutwa bwana.
 
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?


Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.


Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.

Mkuu angekuwa kimya pia angesemwa vipi mbona hamna analofanya, akifanya vizuri anaambiwa Urais dah kazi kweli kweli ...
 
Mtu akifanya vizuri asifiwe na akiboronga asemwe vibaya sasa sisi watanzania mtu afanye vizuri ni baya tu sasa afanyeje ili aonekana katenda jema tubadilike.
 
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?


Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.


Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.

Lipumba alishasema uwezo wa waziri ni mdogo hivyo Mwigulu ameamua kufill hiyo vacum
 
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?


Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.


Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.

Narudia angaika weeee!! Ila kumbuka Kuuza Bata ni rahisi kuliko kumuuza Mwigulu!

Napita tuu!!!
 
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?


Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.


Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.
Mwambie hadi leo tarehe 06/09 sijapokea mshahara wa july na august 2014.
 
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?


Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.


Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.

Gorofa.JPG
 
Of course wasaidizi wa waziri ndio wanatakiwa kuonekana zaidi kuliko waziri mwenyewe....
 
Back
Top Bottom