Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Field Marshal, Mwigulu Lameck Nchemba
ukimsikia kauli zake kwa kweli anatia moyo kuwa kuna mtu anaweza kuleta mabadiliko chanya, ila tatizo chama loo !
Leo yupo Igunga pamoja na Juliana Shonza na Mtela Mwampamba, nadhani Ni katika mwendelezo WA ziara zake za kuelezea mafanikio ya utelezaji WA ilani ya ccm, jinsi alivyozuia upotevu WA mabilioni pale benk kuu nk.
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?
Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.
Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.
mwigilu mze wa matusi sidhani kwamb anauwezo wa kuongoza hata chekechea
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?
Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.
Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?
Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.
Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.
Mwigulu anafanya kazi vema wenye chuki ndiyo wanamsema ila jamaa ni mtendaji kweli.
Mwambie hadi leo tarehe 06/09 sijapokea mshahara wa july na august 2014.Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?
Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.
Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.
Mwambie hadi leo tarehe 06/09 sijapokea mshahara wa july na august 2014.
Jamani ninaomba mnisaidie Mbona Mwigulu kwenye nafasi yake ya Unaibu Waziri wa Fedha sera anaonekana na kuwa na nguvu za Kiutendaji zaidi ya Waziri wake?
Kila mara namsikia Mwigulu tu! Mbona Waziri hasikiki na kila jambo ni Mwigulu tu? Ikumbukwe nafasi ya Mwigulu ndiyo alikuwa anaishikiria Bi Janet Z Mbene ambaye hakusikika sana kama mwigulu japo alifanya kazi vizuri sana zaidi ya Mkuya.
Mytake! Bro Mwigulu ni uzalendo au ni Urais 2015? Kama ni uzalendo basi Mwigulu ni role mode kwa mwaka huu.