Mwigulu Nchemba: Amepata wapi hela ya kukodi Chopa?

Mwigulu Nchemba: Amepata wapi hela ya kukodi Chopa?

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,455
Huyu ni waziri hatujui hiyo ziara yake kama ni kikazi, kichama, au ni mambo yake binafsi ya kusaka uraisi.

Yotekwa yote atueleza amepatawapi hela, kwasababu hatujawahi kuona nyerere,sokoine wala mrema wakifanya ziara kwa helcopta iwe ya kichama,kikazi au binafsi.
 
CCM wote hakuna wa kumwambia mwenzake nipishe nipite..wote ukoo wa panya..

Chui wana hila sana, sometimes anaweza kujivisha sura ya upole ili afanane na paka wa kufugwa nyumbani. Siku akiyatoa makucha na mimeno yake ndo utamtambua kuwa huyu alikuwa paka wa nyumbani au paka pori.

Weka mbali na watoto...
 
Yawezekana kapata kwa Xi Jinping.
Uhusiano wake Na China ulianza kupata mashaka tangia zile harakati za uchaguzi mdogo Arusha.
Mwigulu alitishia ccm kutokuchaguliwa na matokeo yake tunayajua sote,mabomu na vifo.
 
Huyu ni waziri hatujui hiyo ziara yake kama ni kikazi, kichama, au ni mambo yake binafsi ya kusaka uraisi.

Yotekwa yote atueleza amepatawapi hela, kwasababu hatujawahi kuona nyerere,sokoine wala mrema wakifanya ziara kwa helcopta iwe ya kichama,kikazi au binafsi.

Huyu ni Nyerere baadae akaja akawa Sokoine lkn ni wa ki Xi.
 
kashfa ya ugaidi kwa Mwigulu imetokana na nini? naomba anae jua anieleze kwa kina.
 
Fedha za Escrow zimeshaanza kufanya kazi unashangaa nini mkuu?? Kwani unawajua waliobeba kwenya lumbesa pale Stanbic Bank?

R.I.P Mgimwa.

BACK TANGANYIKA
 
Anatoka wapi anaenda wapi na kufanya nini? Malizia basi uzi uko wako tukuelewe kwa uchangiaji mzuri. Kwa vyovyote vile huyo kijana si wakufikiri kwa nafasi yoyote ya uongozi hapa nchini. Nikwa bahati mbaya tu chini y JK amemfanya Nchemba alivyo kwa sasa.
 
Huyu ni waziri hatujui hiyo ziara yake kama ni kikazi, kichama, au ni mambo yake binafsi ya kusaka uraisi.

Yotekwa yote atueleza amepatawapi hela, kwasababu hatujawahi kuona nyerere,sokoine wala mrema wakifanya ziara kwa helcopta iwe ya kichama,kikazi au binafsi.

HUYU WALA HATAFUTI URAIS , taarifa ZINADOKEZA KWAMBA ANATAFUTA UWAZIRI TU , KWA CCM UKITAKA UFIKIRIWE UWAZIRI BASI TISHIA KUGOMBEA URAIS , ULIONA WAPI NYERERE AKIPANGA NJAMA ZA KULIPUA MKUTANO WA WATU ?
 
Huyu ni waziri hatujui hiyo ziara yake kama ni kikazi, kichama, au ni mambo yake binafsi ya kusaka uraisi.

Yotekwa yote atueleza amepatawapi hela, kwasababu hatujawahi kuona nyerere,sokoine wala mrema wakifanya ziara kwa helcopta iwe ya kichama,kikazi au binafsi.

Hilo nalo neno!
 
Kuna zile hela za jimbo kwa mwezi ni m70 je mwajua zinafanya nn??????????? na ndizo hizo ambazo wakichimba kisima cha m10 wanaongeza na sefuri lakini pia kwa wananchi wanasema wametoa hela mifukoni mwao ndo hizo wanazofanyia ufisadi wa kukodi helkopta mnabaki kuchekelea ohoo mbunge wetu anatupenda kachimba kisima cha m100 wakati ni m10 na si zake ni za jimbo na bado kunachange anakula
 
Niko hapa serena karibu na uwanja namsikiliza anavyomwaga porojo zake..
 
Kwa anavyoongea, hii ni ziara ya kichama na ndege ni ya serikali..
 
Huyu ni waziri hatujui hiyo ziara yake kama ni kikazi, kichama, au ni mambo yake binafsi ya kusaka uraisi.

Yotekwa yote atueleza amepatawapi hela, kwasababu hatujawahi kuona nyerere,sokoine wala mrema wakifanya ziara kwa helcopta iwe ya kichama,kikazi au binafsi.

Sababu kubwa ya kupekekwa wizara ya fedha ni kuandaa mikakati ya kuiba fedha za kampeni kwa magamba.
 
Back
Top Bottom