Mwigulu Nchemba, alama ya utii na bidii

Mvidunda

Senior Member
May 30, 2020
122
170
Vijana wa Taifa Tanzania na Afrika kwa ujumla wake tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa kiongozi huyu makini ambaye ki ukweli ni alama halisi ya utii , bidii, utu wema na unyenyekevu uliotukuka na usio na chembe ya unafki. Mwigulu katika muda wote wa utumishi wake kama mwakilishi/mbunge, utumishi ndani ya chama CCM na hata serikalini ameonesha uwezo mkubwa katika kuhudumia wananchi na kutii mamlaka.

Mwingulu hana kashfa yoyote iwe ni ndogo au kubwa, iwe ni rushwa au matumizi mabaya ya madaraka. Mwigulu ni mvumilivu na mstahimilivu mno. Amejawa utii na ni mwenye kuheshimu walio juu yake na hata walio chini yake yaani wale wa daraja la chini kabisa. Viongozi vijana wa karba ya Mwigulu ni wachache mno na kwake yeye tunaweza kujifunza namna nzuri ya kuishi na kutenda pasipo kulewa madaraka.

Yako mengi ya kuandika kuhusu kiongozi huyu mwenye sifa lukuki na ipo siku nitaandika kitabu ili kiwe mwongozo na kumbukumbu kwa kizazi cha sasa na baadae.

Wito: viongozi vijana wa Tanzania na hata wale wanaotamani kuingia kwenye siasa /uongozi kwake Mwigulu kuna mengi ya kujifunza.

Mungu tulindie kiongozi huyu. Kwake yeye tunaiona nyota ing'arayo ambayo inatoa mwangaza na tumaini kuu la baadae.
 
Lini mtaishi maisha yenu kama kila siku mnatakiwa kuwaiga watu?
 
sawima,
Fikra dumavu kabisa. Mwigulu hana sababu za kujipaisha. Sisi tunayeridhika na uongozi wake tutampaisha siku zote.

Hii itampa motisha ya kutenda vema zaidi na kuonesha njia vijana wengine wavae viatu vya Mwigulu ili Taifa lisonge mbele.
 
Fikra dumavu kabisa. Mwigulu hana sababu za kujipaisha. Sisi tunayeridhika na uongozi wake tutampaisha siku zote. Hii itampa motisha ya kutenda vema zaidi na kuonesha njia vijana wengine wavae viatu vya Mwigulu ili Taifa lisonge mbele.
Hamna kitu pale.
 
Mheshimiwa Mwigulu hajaongea lolote kuhusu sukari? Nadhani akieka neno/mkono wake mambo yatenda powa
 
Mwingulu hana kashfa yoyote iwe ni ndogo au kubwa,
Mkuu Mvidunda, kwanza naunga mkono hoja kuwa Mkuu huyu hana kashfa yoyote na kwa vile alijitokeza na kutupa fursa ya kujibu maswali yetu
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Mkuu member mwenzetu wa JF, Mhe. Mwigulu Nchemba
  1. Kwanza nikupongeze kujitokeza tena humu na kukubali kuulizwa maswali, maana mtu wa calbre yako kurejea humu in person na kukubali kujibu maswali, you really have guts!, na labda ujio wako utawarudisha baadhi ya members wetu humu wa calibre yako ambao humu hawachangii tena akiwemo Nape, Ngeleja, Dr. Kigwa, Makonda, na wengine
  2. Pili nikupongeze jinsi unavyojibu karibu kila swali, na pia kwa yale maswali ambayo majibu yake sio for public consuption, umewakaribisha waulizaji at personal level.
  3. Pia nakupongeza kwa uvumilivu wako na ustahimilifu wa kuyavumilia baadhi ya maswali kiukweli ni ya kijinga!. Hapa nawaomba members wenzangu wa jf, kumpata mtu kama huyu kujibu maswali yetu humu ni heshima kubwa kwa mtandao wetu huu wa jf, tumuulize maswali ya maana, kiheshima na kistaarabu ili kuonyesha jf ni mtandao wa watu mature, responsible na wenye objectivity, hiki sio kijiwe, hivyo tuache maswali ya vijiweni.
  4. Mimi nakiri kukukubali sana tangu ulipotaka kugombea urais ile 2015 Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
Na baada ya maelezo hayo, nina maswali matatu yanayohusu utata wa majina yako, ambayo yanahitaji majibu mafupi mafupi tuu ili yasikuchukulie muda mrefu
  1. Ulizaliwa lini, wapi, na ulipozaliwa ulipewa majina matatu yapi?
  2. Ulianza shule lini, wapi, na uliandikishwa kwa majina matatu yapi?
  3. Ulimaliza shule darasa la saba lini, na ulimaliza kwa majina matatu yapi?.
Siku ukipata muda, ayajibu maswali haya
P.
 
Mwigulu unafiki ndo umemjaa.jambo ninalomsifu Ni kuheshimu viongozi wake hats akionewa, tofauti Na wabunge wale Wa chadema..kidogo tu wanalalamika
 
Utii sahihi?Utii Kwa Taifa au utii wa Mungu wao wana Ccm?
Bidii kutumikia Taifa au bidii kumtumikia Mungu mtu wa Ccm?
 
Utii sahihi?Utii Kwa Taifa au utii wa Mungu wao wana Ccm?
Bidii kutumikia Taifa au bidii kumtumikia Mungu mtu wa Ccm?
 
Vijana wa Taifa Tanzania na Afrika kwa ujumla wake tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa kiongozi huyu makini ambaye ki ukweli ni alama halisi ya utii , bidii, utu wema na unyenyekevu uliotukuka na usio na chembe ya unafki. Mwigulu katika muda wote wa utumishi wake kama mwakilishi/mbunge, utumishi ndani ya chama CCM na hata serikalini ameonesha uwezo mkubwa katika kuhudumia wananchi na kutii mamlaka.

Mwingulu hana kashfa yoyote iwe ni ndogo au kubwa, iwe ni rushwa au matumizi mabaya ya madaraka. Mwigulu ni mvumilivu na mstahimilivu mno. Amejawa utii na ni mwenye kuheshimu walio juu yake na hata walio chini yake yaani wale wa daraja la chini kabisa. Viongozi vijana wa karba ya Mwigulu ni wachache mno na kwake yeye tunaweza kujifunza namna nzuri ya kuishi na kutenda pasipo kulewa madaraka.

Yako mengi ya kuandika kuhusu kiongozi huyu mwenye sifa lukuki na ipo siku nitaandika kitabu ili kiwe mwongozo na kumbukumbu kwa kizazi cha sasa na baadae.

Wito: viongozi vijana wa Tanzania na hata wale wanaotamani kuingia kwenye siasa /uongozi kwake Mwigulu kuna mengi ya kujifunza.

Mungu tulindie kiongozi huyu. Kwake yeye tunaiona nyota ing'arayo ambayo inatoa mwangaza na tumaini kuu la baadae.
Mungu atulindie watu wanafiki? Huyo Rais wako wa mawe ni mnafiki na mtu anayejali tumbo lake kuliko uhai wataifa hili

Watu wa namna hiyo hawana nafasi kabisa kwangu
 
Mkuu Mvidunda, kwanza naunga mkono hoja kuwa Mkuu huyu hana kashfa yoyote na kwa vile alijitokeza na kutupa fursa ya kujibu maswali yetu

Mkuu member mwenzetu wa JF, Mhe. Mwigulu Nchemba
  1. Kwanza nikupongeze kujitokeza tena humu na kukubali kuulizwa maswali, maana mtu wa calbre yako kurejea humu in person na kukubali kujibu maswali, you really have guts!, na labda ujio wako utawarudisha baadhi ya members wetu humu wa calibre yako ambao humu hawachangii tena akiwemo Nape, Ngeleja, Dr. Kigwa, Makonda, na wengine
  2. Pili nikupongeze jinsi unavyojibu karibu kila swali, na pia kwa yale maswali ambayo majibu yake sio for public consuption, umewakaribisha waulizaji at personal level.
  3. Pia nakupongeza kwa uvumilivu wako na ustahimilifu wa kuyavumilia baadhi ya maswali kiukweli ni ya kijinga!. Hapa nawaomba members wenzangu wa jf, kumpata mtu kama huyu kujibu maswali yetu humu ni heshima kubwa kwa mtandao wetu huu wa jf, tumuulize maswali ya maana, kiheshima na kistaarabu ili kuonyesha jf ni mtandao wa watu mature, responsible na wenye objectivity, hiki sio kijiwe, hivyo tuache maswali ya vijiweni.
  4. Mimi nakiri kukukubali sana tangu ulipotaka kugombea urais ile 2015 Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
Na baada ya maelezo hayo, nina maswali matatu yanayohusu utata wa majina yako, ambayo yanahitaji majibu mafupi mafupi tuu ili yasikuchukulie muda mrefu
  1. Ulizaliwa lini, wapi, na ulipozaliwa ulipewa majina matatu yapi?
  2. Ulianza shule lini, wapi, na uliandikishwa kwa majina matatu yapi?
  3. Ulimaliza shule darasa la saba lini, na ulimaliza kwa majina matatu yapi?.
Siku ukipata muda, ayajibu maswali haya
P.
Mkuu Paschal, ninakuheshimu sana kama mwana taaluma mbobezi katika fani ya uandishi wa habari. Nina muda mrefu jukwaani hapa. Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini nyuzi zako. Ninasikitika kukutaarifu kuwa aina ya uandishi wako hasa staili unayotumia kuhoji huwa wakati mwingine inakosa sifa ya kujibiwa. Kifupi maswali hayo ambayo Mwigulu hakukujibu hata mimi nisingelikujibu. Sioni mantiki ya maswali hayo. Vinginevyo kama ulikuwa na shaka yoyote vema ungeiweka wazi upate ufafanuzi...!
 
Mkuu Paschal, ninakuheshimu sana kama mwana taaluma mbobezi katika fani ya uandishi wa habari. Nina muda mrefu jukwaani hapa. Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini nyuzi zako. Ninasikitika kukutaarifu kuwa aina ya uandishi wako hasa staili unayotumia kuhoji huwa wakati mwingine inakosa sifa ya kujibiwa. Kifupi maswali hayo ambayo Mwigulu hakukujibu hata mimi nisingelikujibu. Sioni mantiki ya maswali hayo. Vinginevyo kama ulikuwa na shaka yoyote vema ungeiweka wazi upate ufafanuzi...!

Nadhani wewe ni Mwigulu mwenyewe lakini umekuja na Id ya kimkakati kupima upepo. Ukweli ni kuwa Mwigulu sio mtii kwa maana ya utii, bali Mwigulu ni mtii kwa mtu anayeweza kumpa au kumnyang'anya madaraka. Unasema Mwigulu hana kashfa. Kwa taarifa yako Mwigulu ni baadhi ya watu waliotumia madaraka yao kufanya mambo ya kikatili dhidi ya wapinzani ndani ya nchi hii. Haya maovu yanayotokea sasa hivi chini ya awamu hii, yeye Mwigulu aliyaasisi wakati wa JK. Huo utii unaosema anao, sio utii, bali anajua akileta kiburi, file lake la kuendesha maovu litawekwa wazi peupe. Hivyo hana jinsi zaidi ya kuweka utii wa kinafiki, ili kuendelea kukaa madarakani, kwani anajua fika uwepo wake madarakani ndio kinga ya maovu yake.
 
Nadhani wewe ni Mwigulu mwenyewe lakini umekuja na Id ya kimkakati kupima upepo. Ukweli ni kuwa Mwigulu sio mtii kwa maana ya utii, bali Mwigulu ni mtii kwa mtu anayeweza kumpa au kumnyang'anya madaraka. Unasema Mwigulu hana kashfa. Kwa taarifa yako Mwigulu ni baadhi ya watu waliotumia madaraka yao kufanya mambo ya kikatili dhidi ya wapinzani ndani ya nchi hii. Haya maovu yanayotokea sasa hivi chini ya awamu hii, yeye Mwigulu aliyaasisi wakati wa JK. Huo utii unaosema anao, sio utii, bali anajua akileta kiburi, file lake la kuendesha maovu litawekwa wazi peupe. Hivyo hana jinsi zaidi ya kuweka utii wa kinafiki, ili kuendelea kukaa madarakani, kwani anajua fika uwepo wake madarakani ndio kinga ya maovu yake.
Lini vijana/wazee wajinga wa aina yako watapungua kama sio kwisha! Eti mimi ndiye Mwigulu kwa ID nyjngine aisee. Halafu jifunze kuwa na kiwango o walau kidogo cha ustaarabu. Ni maovu yepi aliyowatendea wapinzani. Wapi na lini? Unao ushahidi au unaropoka tu? Mbona sijasikia hao wapinzani wameenda mahakamani. Kwa taarifa yako uovu wapinzani wanajitendea wenyewe.
 
Back
Top Bottom