Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Yupo kwa nyumba ndogo au?
Maana sitajii waziri aishi kwenye kichumba cha hivo...
Charity begins at home ...
au si sawa ?
Yupo kwa nyumba ndogo au?
Maana sitajii waziri aishi kwenye kichumba cha hivo...
Sasa picha ya mwanaume mwenzio akiwa chumbani umeitoa wapi wewe naye??
kuwa na akili ya kawaida sio kitu cha kawaida. Sasa baada ya kuweka hiyo picha sisi tufanye nini. Au wewe ni mfuasi wake.
Sasa akimlisha mtoto wake kuna tatizo gani hapo,watu bhana