Mwigulu Nchemba aagwa Iramba Magharibi

Mwigulu Nchemba aagwa Iramba Magharibi

hivi jamani mwigulu anaonekana mwiba sana kwa cdm, mbona threads za mwigulu haziishi hapa jf, yaan kati ya threads tano zinazoposiwa moja lazima iwe ya mwigulu, jamani watu hawalali kwa sababu ya mtu mmoja, na wangekuwa wawili tz hii ingekuwa je, poleni sana cdm, japo kuwa mnamkuza wenyewe,

Threads za Mwigulu aziishi kwa kuwa hajui siasa na anadhani upinzani ni uadui. He is still young and i can bet he is going to face a very bitter political end.

Tiba
 
Na huu ndo msimu wake wa kwanza katika ubunge na ashachokwa? Atakomaje?
 
waambieni hao watu kuwa mwigulu hataki tena ubunge bali anagombea urais. Ha ha haa!

Sent from my blackberry 9860 using jamiiforums

kama na nchemba anataka uraisi basi ni bora mbwa atawale nchi hii sio nchemba. Tahiliso tulisha kuambia ujinga wako na sifa za kijinga ndo zinakufanya tukuchukie kama unabisha nenda udom,udsm au saut uone cha moto.eti first class wangapi tunazo na serikali yako isiyo na dira haitupi ajira? Ajira ni kwa watu kama ritz na siyoyi sumari tu mfano nenda bank kuu.
 
ushahidi wa picha ndio utakaoweza kufufanya kuamini hii tread yako.
 
Waambieni hao watu kuwa Mwigulu hataki tena ubunge bali anagombea urais. Ha ha haa!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
mkuu kinauche Hahaha hahaha hahaha hahaha
 
Namchukia huyo jamaa, pamoja na yeyote anayetumia jina hili la Mwigulu
 
Mwigulu siyo mtu wa kumjadili kwa sasa, kwani ni kama marehem anayetembea.
 
Taahira kashindwa jimbo sasa anaufikiria uraisi. Lakini akigombea pale mirembe machizi wenzake wanaweza kumpa kura.

Wenzake huko sisim wameshamchoka nani atampendekeza, watu wengine bwana yani kweli mwigulu anafikiri watz ni mataahira mpaka adiriki kufikiria urais? du hii tz hii!
 
Majigambo na vitisho vingi vya naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba yalidhihirika kuwa ni kelele za chura baada ya wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA iliyofanyika wiki iliyopita katika vijiji mbalimbali jimboni hapo, Wananchi walidhihirisha kumchoka Mbunge huyo mwenye vituko vya kisiasa visivyowasaidia waliomchagua kwa kulalamikia utendaji wake mbovu jimboni huku wakiorodhesha kero ndogo ndogo alizoshindwa kuzitekeleza ukiacha zile kubwa ambazo wananchi wanafikiri ni Miujiza tuu ndio inyoweza kuwaokoa kama wataendelea kuwa chini ya utawala wa CCM.


Mwigulu kwa kutaka kuivuruga mikutano hiyo alianza kwa kuwatishia wananchi wasihudhurie mikutano na akaanzisha Ligi ya mpira wa miguu kila tulipokwenda, lakini vijana waliendelea kuja kwenye mikutano yetu na wale ambao walichukua kadi za CHADEMA aliwatoa kwenye Ligi hiyo kama alivyofanya katika kijiji cha Ndulungu.

Nia yake ya kutufanyia fujo ilishindakana kutokana na mikutano yetu yote kupewa ulinzi wa askari Polisi wasiopungua 10, na hivyo wananchi walipata ujasiri wa kuhudhuria na kueleza wazi kero zao.



Katika kijiji cha Tyegelo ambapo kuna umaskini mkubwa sana wa kipato,wananchi walilalamikia kwa uchungu hatua ya Mbunge huyo kutumia Million 13 kuilipa timu ya Simba kucheza mechi Kiomboi siku ya ziara ya Dr Slaa ili kuvuruga mkutano huo ,wakati Dispensary yao iliyoanza kujengwa miaka 3 iliyopita imeshindikana kukamilika kwa kukosekana Sh million 5 tu,huku yeye akiwalazimisha wananchi hao kuchangishana kumalizia ujenzi huo.



Wakati yeye anajitapa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amejenga miundombinu mbalimbali ikiwemo ya barabara, vijiji vingi jimboni hapo havifikiki kwa gari kikiwepo kijiji cha Makunda (kwao na Mwigulu) pamoja na kijiji alikozaliwa Dr Kitila Mkumbo cha Mgela, huku fedha za mfuko wa maendeleo ya Jimbo anazopewa kila baada ya miezi 3 hazijulikani View attachment 111256zinakotokomea na hivyo kusababisha baadhi ya wasaidizi wake wa karibu kama Emmanuel Edger Ntundu kujitoa kwenye chama hicho na kuhamia CHADEMA kukwepa ufisadi huo.


Pamoja na kuwa ziara yetu tulichagua vijiji na Kata ambazo hazikuwahi kufikiwa na CHADEMA kabla, wananchi walikiri wazi kuwa walifanya makosa kumchagua Mbunge huyo na kwamba hawako tayari kurudia makosa hayo tena 2015, na nilichojifunza mimi ni kwamba wanyiramba huwa hawarudii makosa pale wanapojifunza na kujua ukweli na ndio maana tangu uhuru ni mbunge 1 tu (Nalaila Kiula ) ndiye aliyeweza kulishikilia Jimbo hilo kwa awamu zaidi ya 1.



Tutaendelea kwenda Iramba magharibi kuwaelimisha wananchi ili 2015 ikifika wafanye maamuzi wakiwa na ufahamu wa kutosha na hivyo kutochagua AIBU kama walivyofanya 2010,

na ushauri wangu kwa Mwigulu ni kwamba aanze kufungasha virago vyake badala ya kupoteza muda kwa kutengeneza propaganda dhidi ya CHADEMA ambazo kimsingi zinazidi kuiua CCM na kuipaisha CHADEMA na ndio maana hata hali yake ya kisiasa ndani ya CCM sasa ni mbaya maana hawamhitaji tena na hapo alipo amekalia kuti KAVU.


Mimi nimewasilisha, karibuni mnaojua kubisha maana mnakomaa utafikiri nyie ndo mlikuwepo!!!

Kumbe Mwigulu nakujitapa kwake kote kule nikajua jimboni kwake mabomba yanatoa maziwa na asali lakin kumbe ni majanGa,,,duuuhhh,,,!!!
 
Angalau wanaSINGIDA wameanza kuona ukombozi kwa mbali!!!!!!!!!
 
Nchemba vijana wako wa buku 7 hawakutetei tena au mmeshindwana malipo? Jifundishe siasa safi maana mungu akisema nyumaaa geuka, wa mwisho ndio anakuwa wa kwanza.
 
hivi jamani mwigulu anaonekana mwiba sana kwa cdm, mbona threads za mwigulu haziishi hapa jf, yaan kati ya threads tano zinazoposiwa moja lazima iwe ya mwigulu, jamani watu hawalali kwa sababu ya mtu mmoja, na wangekuwa wawili tz hii ingekuwa je, poleni sana cdm, japo kuwa mnamkuza wenyewe,
Nape na kinana na huyo chemba la vima wasipoitaja chadema hawauziki na wewe unajifanya mwehu wakati ushaitaja chadema kama mvua......
 
Huyu kamanda atamtoa kamasi huyo mbwiga chemba la .......

1010784_476249092457946_1885540210_n.jpg
 
hivi jamani mwigulu anaonekana mwiba sana kwa cdm, mbona threads za mwigulu haziishi hapa jf, yaan kati ya threads tano zinazoposiwa moja lazima iwe ya mwigulu, jamani watu hawalali kwa sababu ya mtu mmoja, na wangekuwa wawili tz hii ingekuwa je, poleni sana cdm, japo kuwa mnamkuza wenyewe,

Kwa logic yako hii hii (kuwa mwigulu ni mwiba kwa kuwa threads nyingi zinamhusu), hesabu threads zinazowahusu Dr Slaa na Mh Mbowe separately, zilinganishe kwa idadi na zinazomhusu Mwigulu then njoo hapa utuambie nani ni mwiba!
 
hivi jamani mwigulu anaonekana mwiba sana kwa cdm, mbona threads za mwigulu haziishi hapa jf, yaan kati ya threads tano zinazoposiwa moja lazima iwe ya mwigulu, jamani watu hawalali kwa sababu ya mtu mmoja, na wangekuwa wawili tz hii ingekuwa je, poleni sana cdm, japo kuwa mnamkuza wenyewe,
Threadnyingi anajiandika yeye mwenyewe! Hujajua hilo?
 
Back
Top Bottom