Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,607
- 3,188
hivi jamani mwigulu anaonekana mwiba sana kwa cdm, mbona threads za mwigulu haziishi hapa jf, yaan kati ya threads tano zinazoposiwa moja lazima iwe ya mwigulu, jamani watu hawalali kwa sababu ya mtu mmoja, na wangekuwa wawili tz hii ingekuwa je, poleni sana cdm, japo kuwa mnamkuza wenyewe,
Threads za Mwigulu aziishi kwa kuwa hajui siasa na anadhani upinzani ni uadui. He is still young and i can bet he is going to face a very bitter political end.
Tiba