Siasaniupendo
Member
- Apr 2, 2012
- 20
- 7
Baada ya chaguzi ndogo mbili,Igunga na Arumeru Mashariki, tumeona vitendo vya umwagaji damu, lugha za matusi na rushwa. Mh Mwigulu, msomi wa hali ya juu na meneja wa kampeni nini tadhimini yako baada ya hizi chaguzi?
Mh Nape nawe pia ni msomi, tupe tafsiri ya ccm kuwa na walinzi (green guards), kwani police wameshindwa kazi?
Lusinde, Je unawafundisha nini watoto wako?
Mh Nape nawe pia ni msomi, tupe tafsiri ya ccm kuwa na walinzi (green guards), kwani police wameshindwa kazi?
Lusinde, Je unawafundisha nini watoto wako?