Mwigulu: Mimi ni Nyerere

thehunk

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
533
Reaction score
233
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba asema watu wanamfananisha na hayati baba wa taifa Julius Nyerere kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga



CHANZO: NIPASHE
 
Waziri wa fedha mh mwigulu nchemba asema watu wanamfananisha na hayati baba wa taifa julius nyerer kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga

weka source..
usikute unamzushia.
 
Sasa tunamtaka aanze kushugulikia matumizi makubwa ya serekali. Atangaze kuondoa ma V8 yote serekalini ayapige mnada na awake code na standard ya magari ya viongozi na serekali kwa ujumla. Hapa ndipo atakuwa amecheza Messi na sio Ronaldo tena, na uraisi tutampa bila hata kugombea.

Wenzetu Kenya na Rwanda wameweza, kwanini Tz tusiweze? Magari ya serekali na viongozi wake isizidi cc 2000 full stop.

Mwigulu if you are serious go with this utakuwa raisi hata bila kugombea, just try my advice my friend, you will see.
 
Mkuu,

Unafahamu maana ya kuendekeza?

Hiyo heading yako ni majanga.

Jaribu kuwaomba MOD's wakusaidie kuiweka vizuri.

Halafu kampeni zenu kuhusu ''kumfagilia'' Mwigulu Nchemba niza kitoto sana.

Niliwashauri kama kweli mko serious mtafute wataalam wa PR ili wawasaidie kuwashauari katika maeneo mnayoonekana mna mapungufu.

Hoja zenu kila siku ni zile zile lakini kubwa zaidi, haziwezi kujenga mazingira mazuri kwake ili apigiwe kura nyingi na wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM Taifa.

Unapowaambia wazee wa CCM ambao ndiyo wengi kwenye mkutano Mkuu wa CCM kuwa huyu ni mfano wa Mwl. Nyerere au Sokoine wakati hao wazee walifanya kazi pamoja na hao viongozi, kwanza watakushangaa, halafu watakudharau.

Hizi hoja zinawafaa vijana ambao hawakubahatika kumuona Mwl. Nyerere au Sokoine akifanya kazi na siyo wake walifanya kazi nao.

Ni ushauri tu.
 
mkuu haya maneno yangezungumzwa mwanzoni 2010 hadi 2013 ni sawa ila sasa 2015 yananitia shaka sana huu ni mwaka wa uchaguzi watakuja wengi wakizungumza matatizo ya wananchi ila ikifika mwaka kesho watayasahau
 
nlizima tv alipoongea haya itv juzi-toka mtoto naitwa nyerere nilikuwa na misimamo duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
waziri wa fedha, mwigulu nchemba asema watu wanamfananisha na hayati baba wa taifa julius nyerere kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga




chanzo: nipashe

haya nyerere wa ccm ya kasi mpya
 
Nyerere hakuwa Gaidi, inashangaza Gaidi kujifananisha na mzalendo wa kweli nchi hii kuliko hata Nyerere, yaani Edward Moringe Sokoine (Mtu wa Watu)
 
ok sawa ila amefanya jitihada gani kuhakikisha audilifu kwenye chama chake?
 
asisjifanye tumeshasahau kwamba yeye ndiye amekuwa mchotaji mkuu hazina kuingiza mafisadi madarakani kwa tiketi ya CCM
 
Huyu Mwigulu huo utetezi wa wanyonge anaojivika ameanza mwaka Jana mwishoni tu, hivyo uko strategically, Wala sio tabia yake ya kuzaliwa nayo.

Nyuma ya hapo alikua mpiga vijembe tu, pamoja na kuratibu matukio mbalimbali against viongozi na mikutano ya siasa ya vyama vya upinzani yanayotia Shaka.

Hata ukiangalia anachodai kutetea wanyonge ni kama amekariri tu, yaani kila siku story ni hizo hizo sijui kukimbizana na mama ntilie, wamachinga, e.t.c. na amekua akitaja tu kila mara hizi story lakini utekelezaji hakuna. Angekua ni mtekelezaji kweli tungeshaona mabadiliko.

Kingine analazimisha watu wamkubali kwa kutumia wapambe wake wamuandike kama hapa kwenye huu Uzi. Wanaomkubali ni wachache na ni watu wake, na ndio wanaolazimisha wengine tumkubali
 
Tangu lini Mwigulu kawa Waziri wa fedha? Hebu nijuzeni.
 
Juzi nilikua safarini, nilipopita pale Ruvu kuelekea Chalinze kuna daraja ambapo treni inapita juu, kuangalia juu ya ukingo wa lile daraja kuna Mpuuzi kaandika MWIGULU NDIO RAIS 2015. Nikacheka tu maana huyu jamaa ana ndoto za ajabu mno.......na huku ni kuchafua mazingira yetu, huwezi kuandika ujinga kama huu kila mahali. I hate it.
MANI zumbemkuu Chakaza tpaul na wengine huyu kijana ni mzima kweli? lusungo pale ni Vigwaza au ni Ruvu? Kumbe na wewe uliona ule upuuzi eeeh??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…