palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
ndugu wana janvi, heshima kwenu!!!
Hivi tuntemeke anafikiria kwa kutumia makalio au unakuwa controlled na limote ya lumumba? Masalia ndo' mtakao mpigia mwigulu magoti na wote wanaowatumia,kwani kazi mliyopewa ya kuivuruga chadema imewashinda. Mbinu zenu zote tumesha zifahamu na sasa mnaambulia aibu tupu. Tuntemeke wafikishie taarifa mwigulu,nape, magamba,na masalia wenzako "chadema kamwe haitayumbishwa na kuvurugwa na propaganda mfu". Subilini majibu 2015.
Prevailing circumstantial series of events hint about the possibility of one big-headed politician to re-play a planned drama of the failed; either kidnapping or assassination to himself. In this drama, Mr. big-headed has been a planner and at the same time will act and become the dramatized victim of the action!
.....wanayo plan B. Wamepanga kutumia vurugu zinazoanzishwa na kundi la masalia ndani ya CHADEMA kuleta mauaji. Wanaweza kabisa kuwadhuru au kuwaua akina ZZK na kundi lake ili kujustify kuwa akina Dr Slaa ni wauaji.....
Nchemba Hapaswi kupuuzwa Kwa kuwa Tukumbuke kabla ya yule muuza magazeti pale Msamvu n'a mwangosi kule Iringa aliibuka Nape n'a kudai kuwa kwenye mikutano ya CDM kunatarajiwa kutokea Mauaji!! Hadi leo JK hakuwahi kutuma salaam za rambirambî kwa MWangosi wala kwa yule muuza magazeti wa Msamvu jambo linaloonyesha hayo mauaji yanapangwa kwenye CC ya magamba!!
Maelezo yako yanathibitisha kwamba yale maneno Chadema wanatumia mauaji ya watu kwa manufaa ya kisiasa ni ukweli mtupu. Tazama ulivyopanga maneno yako kisiasa ndugu, huonyeshi uchungu wowote kwa wafiwa pale unaegemea siasa tu. Nilidhani kila kinachomhusu Mwangosi kitaegemea zaidi kuiponda serikali vs familia. Kumbe ni serikali vs chadema.
Huyo mwigulu hajui lolote anaongea kama mtu ambaye hajaenda shule kabisa.leo kaita iliboro ni shule ya kata tangu lini iliboru ikawa shule ya kata.bado akadai cdm wanapanga kuua watu kwenye mikutano yao hivi kweli inaweza ingia akilini kama sio uzuzu?yule jamaa aliyetokea moro wa ccm alimuumbua baada ya kusema tuache mipasho na itikadi za vyama tuongele utaifa kwaza.