Mwigulu Amfuta Lowassa Tunduma mchana huu

Mwigulu Amfuta Lowassa Tunduma mchana huu

ukitoa wagombea katika uchaguzi huu,,,mwigulu kapiga kazi balaa
 
Sijawahi kuona chama king'ang'anizi kama ccm. Wanasema mateke ya ng'ombe alio chinjwa tayari. Lowassa akifanya hivi, wapo nyuma, lowassa akifanya kile, wapo nyuma. Yaani sio wabunifu kabisa.
 
Sijawahi kuona chama king'ang'anizi kama ccm. Wanasema mateke ya ng'ombe alio chinjwa tayari. Lowassa akifanya hivi, wapo nyuma, lowassa akifanya kile, wapo nyuma. Yaani sio wabunifu kabisa.

"watu kama ni hao niliowaona kwenye picha hata 1/1000 ya wapiga kura wa Lowassa waliojitokeza jana asbh hawafiki, na J2 tunawazika kabisa"
 
Mbeya CCM Hata Waende Mara 200 Na LUNDO Na Wabana Pua, Wacheza Sarakasi, Sinema, Taarabu N.k .Mbeya HAWANA CHAO!! Especially Momba Nzima!!!
 
Hiyo Picture Ya Mkutano Wenu Leo Umefanyika MAENEO GANI Hapa Tunduma!!!!!????
 
Baada ya kusikia kuna matatizo ya vipaza sauti huko tunduma, imebidi Comrade Mwigulu aende kuwaonyesha jinsi vinavyofanya kazi

View attachment 300807

Tunduma hiyo hapo juu si Tunduma hii hapa chini;

attachment.php


Hii ndio inaitwa operation delete CCM Tunduma.
 
Hawa jamaa wa ccm kweli wana kampeni za kisayansi mbona wanakaba hivyo? Kweli mwaka huu waliguswa pabaya maake hizi mbinu zingetumika miaka ile nadhani vyama vingine vingejifia mapemaaa.
 
Mwigulu kweli umeonyesha uwezo wako ulifaa hata kuwa Mgombea urais.
 
Mbeya mtabaki wafuata upepo wa mabadiliko hivyo hivyo,wakati wenzenu wanasonga mbele kuibana serikali iwaletee maendeleo
 
Back
Top Bottom