afadhali tar 25 ifike tuache uongo.
Yupo sana tu...ivii Napee yupoo kwelii?!!
Si nilisikia baada ya tarehe moja chopa tano za cdm kanda zote.inakuwaje mnalalamika kuwa ccm inafanya kufuru.shida ni elimu na ukawa haikuwa na coordinator wa kampeni mzuri.
Ilikuwa iwe hivyo lakini kuna baadhi ya chopa tulizotaka kuchukua mojawapo ni ile mbovu iliyomuua F.Njombe CCM kwa uzembe wakajua wamewazidi kete CDM na kuipandia dau kilichofuata ndio hicho R.I.P F.NjombeSi nilisikia baada ya tarehe moja chopa tano za cdm kanda zote.inakuwaje mnalalamika kuwa ccm inafanya kufuru.shida ni elimu na ukawa haikuwa na coordinator wa kampeni mzuri.
Hebu mtaje mwanachadema aliyeoko Tunduma akifanya mkutano wowote.
CCM mmezidisha sifa sasa!