MWIGULU alishindwa nini kuokoa bill.325 ?

While __________________________ ni JOKER LA MDIM

Katika Gazeti la Mwananchi la leo Jumapili
23.11.2014
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba
katika maoni yake kama kiongozi wa Nchi na
mmoja wa Vijana shupavu Nchini wasio na
chembe ya Kashfa yoyote katika Nchi hii kama
historia yake inavyojieleza kuwa ni Mtoto wa 10
katika Familia ya Mzee Madelu,Mtoto pekee
aliyesoma katika Familia hiyo,akiwa na historia
ya kujisomesha kwa kuchunga Ng'ombe hadi
anamaliza kidato cha sita na Baadae UDSM
kwa Mkopo wa Serikali,Naa baadae Masters
aliyoisoma akiwa anafyatua tofali kama kibarua
pale Tegeta Maji.Na sasa akiwa Mwanafunzi
wa PHD na Msomi wa Uchumi Daraja la kwanza
anasema.
"HAOTOSHI,HAITOSHI,HAITOSH I Mafisadi wa
ESCROW/IPTL kujiuzulu nyadhifa zao kwani ni
sawa na kuwapa Likizo wakatumie fedha za
Watanzania,Fedha zilizopaswa kuelekezwa
kwenye Miradi ya Maendeleo
(Shule,Hospitalin.k).
Mafisadi wa ESCROW ni wahujumu Uchumi wa
Nchi,Wanatakiwa
Wakamatwe,Wafilisiwe,wafungwe" .
Kesi kama hii haiihitaji kwenda Mahakamani
kwasababu CAG ameshatoa ripoti inayotia
hatiani wahusika.
Chanzo.Mwananchi la leo Jumapili
 
Sasa ni dhahiri kuwa Mwigulu Nchemba ndiye anayeenda kukiwakilisha chama chetu cha mapinduzi-CCM katika uchaguzi mkuu mwakani kwa nafasi ya Urais japo kuna tetesi kutoka kwa maadui kuhusu Escrow naomba kuweka sawa kuwa, Wizi wa Pesa za EPA BOT zilifanyika 2004 Mwigulu akiwa chuo pale UDSM anasoma na sio mwajiriwa wa BOT.
Wizi wa pesa za ESCROW A/C zimeliwa au kulipwa Dec 2013, Mwigulu hakuwa wizarani.
Mwigulu ameingia wizara ya Fedha mwaka huu mwezi wa pili(February 2014) ndio maana kafulila alisema hata kifo cha Dk Mgimwa kingechunguzwa maana pesa ya Escrow ililipwa Dk Mgimwa akiwa hospital south Africa.

Mwigulu ndie Rais wetu 2015 na huwezi mchafua kamwe nyie mafisadi
 
Katika Gazeti la Mwananchi la leo Jumapili
23.11.2014
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba
katika maoni yake kama kiongozi wa Nchi na
mmoja wa Vijana shupavu Nchini wasio na
chembe ya Kashfa yoyote katika Nchi hii kama
historia yake inavyojieleza kuwa ni Mtoto wa 10
katika Familia ya Mzee Madelu,Mtoto pekee
aliyesoma katika Familia hiyo,akiwa na historia
ya kujisomesha kwa kuchunga Ng'ombe hadi
anamaliza kidato cha sita na Baadae UDSM
kwa Mkopo wa Serikali,Naa baadae Masters
aliyoisoma akiwa anafyatua tofali kama kibarua
pale Tegeta Maji.Na sasa akiwa Mwanafunzi
wa PHD na Msomi wa Uchumi Daraja la kwanza
anasema.

"HAOTOSHI,HAITOSHI,HAITOSH I Mafisadi wa
ESCROW/IPTL kujiuzulu nyadhifa zao kwani ni
sawa na kuwapa Likizo wakatumie fedha za
Watanzania,Fedha zilizopaswa kuelekezwa
kwenye Miradi ya Maendeleo
(Shule,Hospitalin.k).
Mafisadi wa ESCROW ni wahujumu Uchumi wa
Nchi,Wanatakiwa
Wakamatwe,Wafilisiwe,wafungwe" .
Kesi kama hii haiihitaji kwenda Mahakamani
kwasababu CAG ameshatoa ripoti inayotia
hatiani wahusika.

Chanzo.Mwananchi la leo Jumapili
Nonsense kwenye blue, hapo kwenye red nikuulize tu je sakata la EPA Mwigulu alikua hajazaliwa?
 
Sasa ni dhahiri kuwa Mwigulu Nchemba ndiye anayeenda kukiwakilisha chama chetu cha mapinduzi-CCM katika uchaguzi mkuu mwakani kwa nafasi ya Urais japo kuna tetesi kutoka kwa maadui kuhusu Escrow naomba kuweka sawa kuwa, Wizi wa Pesa za EPA BOT zilifanyika 2004 Mwigulu akiwa chuo pale UDSM anasoma na sio mwajiriwa wa BOT.
Wizi wa pesa za ESCROW A/C zimeliwa au kulipwa Dec 2013, Mwigulu hakuwa wizarani.
Mwigulu ameingia wizara ya Fedha mwaka huu mwezi wa pili(February 2014) ndio maana kafulila alisema hata kifo cha Dk Mgimwa kingechunguzwa maana pesa ya Escrow ililipwa Dk Mgimwa akiwa hospital south Africa.

Mwigulu ndie Rais wetu 2015 na huwezi mchafua kamwe nyie mafisadi

Katika Gazeti la Mwananchi la leo Jumapili
23.11.2014
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba
katika maoni yake kama kiongozi wa Nchi na
mmoja wa Vijana shupavu Nchini wasio na
chembe ya Kashfa yoyote katika Nchi hii kama
historia yake inavyojieleza kuwa ni Mtoto wa 10
katika Familia ya Mzee Madelu,Mtoto pekee
aliyesoma katika Familia hiyo,akiwa na historia
ya kujisomesha kwa kuchunga Ng'ombe hadi
anamaliza kidato cha sita na Baadae UDSM
kwa Mkopo wa Serikali,Naa baadae Masters
aliyoisoma akiwa anafyatua tofali kama kibarua
pale Tegeta Maji.Na sasa akiwa Mwanafunzi
wa PHD na Msomi wa Uchumi Daraja la kwanza
anasema.
"HAOTOSHI,HAITOSHI,HAITOSH I Mafisadi wa
ESCROW/IPTL kujiuzulu nyadhifa zao kwani ni
sawa na kuwapa Likizo wakatumie fedha za
Watanzania,Fedha zilizopaswa kuelekezwa
kwenye Miradi ya Maendeleo
(Shule,Hospitalin.k).
Mafisadi wa ESCROW ni wahujumu Uchumi wa
Nchi,Wanatakiwa
Wakamatwe,Wafilisiwe,wafungwe" .
Kesi kama hii haiihitaji kwenda Mahakamani
kwasababu CAG ameshatoa ripoti inayotia
hatiani wahusika.
Chanzo.Mwananchi la leo Jumapili
Nshakuelewa,jitahidi upate na muda wa kutafuta mkate wako wa siku kwa halali wenzio wameshagawana bilions,ukiwa kijana hupasw kuwa na akili za kitumwa waweza pakatwa
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom