Anakonda narudia tena, nilikuwepo ktk mkutano huo, aibu! maana jamaa baada ya kuropoka sana, na matusi, tena kwa kinyiramba, kashfa kwa viongozi wa cdm, kama kumwita mh Kasulumbai ni mchawi wa kuogopwa, uongo kuwa cdm ndo wauaji ktk mikutano, wananchi zaidi ya nusu waliondoka ktk mkutano! Binafsi nilihisi aibu kwa mkuu wa wilaya aliyekuwepo akitegemea ndg yake mwigulu atatema cheche! akaishia kuachwa mkutanoni!