Mwigamba kumvaa Mnyika Ubungo

Mwigamba kumvaa Mnyika Ubungo

Jameni naombeni ile Picha Mwigamba akikunjwa.
 
mnyika amefanya kazi yake bungeni kama inavyotakiwa,ameuiza.maswali ya msingi kuliko wabunge wote bungeni,vile vile.ndiye mbunge pakee no moja kwa kuuliza mswali ya nyongeza,huyo ndiye mbunge machachari mnyika,waliyofutia no mbili mpaka hamsini wote ni wabunge wa ukawa naanza kuwataja
no 2 tindu lisu
no mosesi machali
no3 halima mdee
mkosamali
david.silinde
wenje
peter msingw
sugu ak mbilinyi
esta matiku
p getrud
kafulila endelea
Safi sana kiongoz unajitambua
 
kumuweka Mwigamba Ubungo kupambana na Mnyika ni sawa na kupambanisha Bacelona na yanga
 
Huyu hata akishindanishwa na jiwe,jiwe litashinda

Kwa mujibu wa kiongozi wa chama viongozi wote wa ACT Lazima wagombee na ukishindwa lazima ueleze kama unafahaa kuendelea kuwa kiongozi ndani ya Chaka! Hahaha! Mwigamba Soon utarushwa nje!
 
Sisi wana ubungo hatumtaki kabisaa mnyika,dumu la maji tunanunua 2000 kwa sasa

We ni wa hovyo kabisa usemee moyo wako sio watu wote wa Ubungo.maccm mtasubiri sana.kwa kuwa ndoto ni bure endelea na ndoto zako.
 
Mwi-Gamba ni Gamba!

Jimbo la ubungo atalisikia kwenye Bomba
 
We ni wa hovyo kabisa usemee moyo wako sio watu wote wa Ubungo.maccm mtasubiri sana.kwa kuwa ndoto ni bure endelea na ndoto zako.

ungemuambia hayo ndio maisha bora kwa kila mtanzania kama alivyoaidiwa na Kikwete, analalamikia maji kwani yeye ni Mganda?
 
afu hilo jimbo wengi wanafukuzia mpaka Mjomba naye ametangaza nia ya ubunge kwenye hilo jimbo
 
Mnyika wa 2010 sio huyu, wanaubungo walikuwa na matumaini naye baada ya kuwaahidi mambo kadhaa, ila sasa keshapoteza mvuto, kwani hajatekeleza ahadi yake hata moja!
unasema maji eehe...kazi ya mnyika sio maji.
 
Back
Top Bottom