Mwigamba hatahama CHADEMA kirahisi!

Mwigamba hatahama CHADEMA kirahisi!

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Sababu zipo nyingi.lakini hizi ni chache:

Kwanza,Samson Mwigamba amejijengea jina akiwa CHADEMA. Hata makala zake za 'Kalamu ya Mwigamba' za kwenye Tanzania Daima zinauzika kwakuwa tu yupo CHADEMA na akiwa kiongozi huko. Huo ndio ukweli. Mwigamba wa mwaka 2003 si huyu wa 2013. Kutoka Mwalimu hadi Mwenyekiti wa chama Arusha. Sasa, ni wakati wake kulipa fadhila na kukitumikia chama chake. Aachwe aamue kubaki CHADEMA.

Pili, CHADEMA inampigania. Mara baada ya Mwigamba kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uchochezi(akiwa pamoja na Absalom Kibanda), CHADEMA ilimwaga Mawakili Wasomi kumlinda kisheria Mwigamba. Tangu siku ya kwanza ya kesi hadi sasa, Mwigamba analindwa,anasaidiwa, anatetewa na kupiganiwa. Naye anaonesha uzalendo kwa chama kiutumishi na kiutawala.Ya Arusha na mitandaoni yanajadilika na kusameheka. Mwigamba hawezi kuhama CHADEMA kirahisi.

Tatu, CHADEMA kimeimarika na kutambulika kama chama kikuu cha upinzani nchini. Ni mpinzani wa kweli wa CCM yetu iliyo madarakani tangu 1977 ilipoanzishwa ikirithi utawala wa TANU ulioanza 1961. CHADEMA kwasasa si chama cha kubeza. Kinasumbua vichwa vya makada na viongozi wa CCM.Si kitu kidogo kuwa ndani ya CHADEMA,tena katika ngazi ya Mwigamba. Mchezaji mzuri hasusi mechi kirahisi.Hununa na kucheka baadaye kidogo. Mwigamba yuko tayari kuingia na kucheza mechi ya 2014 na 2015 akivaa jezi ya CHADEMA. Si rahisi kususa!

Nne, mambo ya Arusha yamekuzwa mno. Hayakutokea kama yarivyoripotiwa. Kwakuwa Mwigamba naye ni mwandishi wa habari, atakuwa ameshang'amua. Amejua jinsi anavyochochewa kuasi na kuhama CHADEMA. Kimsingi, Mwigamba ni mtu makini. Hawezi kuyumbisha chama lakini pia hatathubutu.

Tano, Mwigamba anaijua Katiba na Kanuni za CHADEMA. Atachukua hatua stahiki kikanuni pale ambapo atahitaji kukosoa kwa ajili ya maboresho. Hatarudia kujiita na kufanya alivyofanya. Alitereza. Alikosea. Anajua fika kuwa kwasasa yeye anaihitaji CHADEMA na CHADEMA inamhitaji. Ataiboresha kikanuni. Hawezi kutumika kirahisi kama inavyoripotiwa.

Sita, makada wa vyama vingine tuache kufuatilia na kuchochea yasiyotuhusu. Kwa CHADEMA ya sasa, hategemewi mtu.Hakuna hata mmoja aliye maarufu kuliko chama. Ushushushu na umafia toka nje sasa unakumbana haraka na 'a great wall'. Huu ni ukweli mchungu kuusema.

Hatahivyo, CCM yetu iko imara sana. Haihitaji kuchonganisha na kuvuna wanachama wa CHADEMA. Inajipanga na kujiimarisha zaidi kila kukicha kwa mpambano wa fainali hapo 2014 na 2015. Wachezaji wetu wana morali ya hali ya juu. Wako tayari kupata ushindi. Sasahivi, tumetingwa na kutekeleza Ilani yetu ya 2010-2015. Tukutane uwanjani 2014 na 2015. Kila la kheri wapinzani wetu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Saaam.
 
mkuu umenena, pia napenda sana mabandiko yako hongera sana
 
mkuu umenena, pia napenda sana mabandiko yako wewe sio mnafiki kama akina ritz! hongera sana
 
tofauti kubwa kati ya CDM na CCM ndo hii...CCM inaonekana inafuga WASALITI, mafisadi, wauza unga, wezi, wazandiki, madada p,wala rushwa.....lakini CDM ukionesha hizo dalili tu...hata ngumi unakula....na ccM wanachofanya sasa hivi baada ya kuona kete ya ugaidi imeshidwa...ni propaganda kuifanya nayo CDM ionekane imechafuka kama ccm....poor political stratergy...kwa sababu kwa jamii yetu ya sasa propaganda kam hiyo inapaa wiki ya kwanza watu wakitulia wanaanza kutafuta ukweli....ukweli ukijulikana inakulaga kwa ccm zaidi....
 
Hata akihama au akifukuzwa hatakuwa na impact.

Chadema ilipofikia sasa imesimama kama Taasisi, na si chama kinachotegemea mgongo wa mtu hasa hawa wachumia tumbo.
 
Mzee Tupatupa,
Huwa nakubaliana na wewe katika mambo mengi. Napenda ulivyo mkweli hata pale ambapo ukweli huo unakihusu chama chako. Hata hivyo, kwa leo naomba nikubaline na hoja zako ya kwanza hadi ya tano, ila nitofautiane na hoja ya mwisho.

Sababu zipo nyingi.lakini hizi ni chache:

Kwanza,Samson Mwigamba amejijengea jina akiwa CHADEMA. Hata makala zake za 'Kalamu ya Mwigamba' za kwenye Tanzania Daima zinauzika kwakuwa tu yupo CHADEMA na akiwa kiongozi huko. Huo ndio ukweli. Mwigamba wa mwaka 2003 si huyu wa 2013. Kutoka Mwalimu hadi Mwenyekiti wa chama Arusha. Sasa, ni wakati wake kulipa fadhila na kukitumikia chama chake. Aachwe aamue kubaki CHADEMA.

Pili, CHADEMA inampigania. Mara baada ya Mwigamba kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uchochezi(akiwa pamoja na Absalom Kibanda), CHADEMA ilimwaga Mawakili Wasomi kumlinda kisheria Mwigamba. Tangu siku ya kwanza ya kesi hadi sasa, Mwigamba analindwa,anasaidiwa, anatetewa na kupiganiwa. Naye anaonesha uzalendo kwa chama kiutumishi na kiutawala.Ya Arusha na mitandaoni yanajadilika na kusameheka. Mwigamba hawezi kuhama CHADEMA kirahisi.

Tatu, CHADEMA kimeimarika na kutambulika kama chama kikuu cha upinzani nchini. Ni mpinzani wa kweli wa CCM yetu iliyo madarakani tangu 1977 ilipoanzishwa ikirithi utawala wa TANU ulioanza 1961. CHADEMA kwasasa si chama cha kubeza. Kinasumbua vichwa vya makada na viongozi wa CCM.Si kitu kidogo kuwa ndani ya CHADEMA,tena katika ngazi ya Mwigamba. Mchezaji mzuri hasusi mechi kirahisi.Hununa na kucheka baadaye kidogo. Mwigamba yuko tayari kuingia na kucheza mechi ya 2014 na 2015 akivaa jezi ya CHADEMA. Si rahisi kususa!

Nne, mambo ya Arusha yamekuzwa mno. Hayakutokea kama yarivyoripotiwa. Kwakuwa Mwigamba naye ni mwandishi wa habari, atakuwa ameshang'amua. Amejua jinsi anavyochochewa kuasi na kuhama CHADEMA. Kimsingi, Mwigamba ni mtu makini. Hawezi kuyumbisha chama lakini pia hatathubutu.

Tano, Mwigamba anaijua Katiba na Kanuni za CHADEMA. Atachukua hatua stahiki kikanuni pale ambapo atahitaji kukosoa kwa ajili ya maboresho. Hatarudia kujiita na kufanya alivyofanya. Alitereza. Alikosea. Anajua fika kuwa kwasasa yeye anaihitaji CHADEMA na CHADEMA inamhitaji. Ataiboresha kikanuni. Hawezi kutumika kirahisi kama inavyoripotiwa.

Sita, makada wa vyama vingine tuache kufuatilia na kuchochea yasiyotuhusu. Kwa CHADEMA ya sasa, hategemewi mtu.Hakuna hata mmoja aliye maarufu kuliko chama. Ushushushu na umafia toka nje sasa unakumbana haraka na 'a great wall'. Huu ni ukweli mchungu kuusema.

Hatahivyo, CCM yetu iko imara sana. Haihitaji kuchonganisha na kuvuna wanachama wa CHADEMA. Inajipanga na kujiimarisha zaidi kila kukicha kwa mpambano wa fainali hapo 2014 na 2015. Wachezaji wetu wana morali ya hali ya juu. Wako tayari kupata ushindi. Sasahivi, tumetingwa na kutekeleza Ilani yetu ya 2010-2015. Tukutane uwanjani 2014 na 2015. Kila la kheri wapinzani wetu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Saaam.
 
Sababu zipo nyingi.lakini hizi ni chache:

Kwanza,Samson Mwigamba amejijengea jina akiwa CHADEMA. Hata makala zake za 'Kalamu ya Mwigamba' za kwenye Tanzania Daima zinauzika kwakuwa tu yupo CHADEMA na akiwa kiongozi huko. Huo ndio ukweli. Mwigamba wa mwaka 2003 si huyu wa 2013. Kutoka Mwalimu hadi Mwenyekiti wa chama Arusha. Sasa, ni wakati wake kulipa fadhila na kukitumikia chama chake. Aachwe aamue kubaki CHADEMA.

Pili, CHADEMA inampigania. Mara baada ya Mwigamba kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uchochezi(akiwa pamoja na Absalom Kibanda), CHADEMA ilimwaga Mawakili Wasomi kumlinda kisheria Mwigamba. Tangu siku ya kwanza ya kesi hadi sasa, Mwigamba analindwa,anasaidiwa, anatetewa na kupiganiwa. Naye anaonesha uzalendo kwa chama kiutumishi na kiutawala.Ya Arusha na mitandaoni yanajadilika na kusameheka. Mwigamba hawezi kuhama CHADEMA kirahisi.

Tatu, CHADEMA kimeimarika na kutambulika kama chama kikuu cha upinzani nchini. Ni mpinzani wa kweli wa CCM yetu iliyo madarakani tangu 1977 ilipoanzishwa ikirithi utawala wa TANU ulioanza 1961. CHADEMA kwasasa si chama cha kubeza. Kinasumbua vichwa vya makada na viongozi wa CCM.Si kitu kidogo kuwa ndani ya CHADEMA,tena katika ngazi ya Mwigamba. Mchezaji mzuri hasusi mechi kirahisi.Hununa na kucheka baadaye kidogo. Mwigamba yuko tayari kuingia na kucheza mechi ya 2014 na 2015 akivaa jezi ya CHADEMA. Si rahisi kususa!

Nne, mambo ya Arusha yamekuzwa mno. Hayakutokea kama yarivyoripotiwa. Kwakuwa Mwigamba naye ni mwandishi wa habari, atakuwa ameshang'amua. Amejua jinsi anavyochochewa kuasi na kuhama CHADEMA. Kimsingi, Mwigamba ni mtu makini. Hawezi kuyumbisha chama lakini pia hatathubutu.

Tano, Mwigamba anaijua Katiba na Kanuni za CHADEMA. Atachukua hatua stahiki kikanuni pale ambapo atahitaji kukosoa kwa ajili ya maboresho. Hatarudia kujiita na kufanya alivyofanya. Alitereza. Alikosea. Anajua fika kuwa kwasasa yeye anaihitaji CHADEMA na CHADEMA inamhitaji. Ataiboresha kikanuni. Hawezi kutumika kirahisi kama inavyoripotiwa.

Sita, makada wa vyama vingine tuache kufuatilia na kuchochea yasiyotuhusu. Kwa CHADEMA ya sasa, hategemewi mtu.Hakuna hata mmoja aliye maarufu kuliko chama. Ushushushu na umafia toka nje sasa unakumbana haraka na 'a great wall'. Huu ni ukweli mchungu kuusema.

Hatahivyo, CCM yetu iko imara sana. Haihitaji kuchonganisha na kuvuna wanachama wa CHADEMA. Inajipanga na kujiimarisha zaidi kila kukicha kwa mpambano wa fainali hapo 2014 na 2015. Wachezaji wetu wana morali ya hali ya juu. Wako tayari kupata ushindi. Sasahivi, tumetingwa na kutekeleza Ilani yetu ya 2010-2015. Tukutane uwanjani 2014 na 2015. Kila la kheri wapinzani wetu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Saaam.

Mimi kama kawaida ujue .I am CCM supporter ila siamini kwamba CCM bado ina watu wenye akili kama wewe kaka .Tena unachambua mno bila hasira wala kuficha ukweli .Kwa nini hawakupi kuwa mwenekiti wa Chama kikongwe uokoe jahazi ?
 
Tunavmhitaji mwigamba mwenye ujasiri wa kuongea tuhuma zake kwenye vikao lakini si huyu mnafiki.

Hatumhitaji mwigamba aliye kama popo.
 
Mimi kama kawaida ujue .I am CCM supporter ila siamini kwamba CCM bado ina watu wenye akili kama wewe kaka .Tena unachambua mno bila hasira wala kuficha ukweli .Kwa nini hawakupi kuwa mwenekiti wa Chama kikongwe uokoe jahazi ?

ni kweli mkuu, mara nyingi post zake huwa simwelewi kama ni mpinzani ama wa chama tawala
 
Sababu zipo nyingi.lakini hizi ni chache:

Kwanza,Samson Mwigamba amejijengea jina akiwa CHADEMA. Hata makala zake za 'Kalamu ya Mwigamba' za kwenye Tanzania Daima zinauzika kwakuwa tu yupo CHADEMA na akiwa kiongozi huko. Huo ndio ukweli. Mwigamba wa mwaka 2003 si huyu wa 2013. Kutoka Mwalimu hadi Mwenyekiti wa chama Arusha. Sasa, ni wakati wake kulipa fadhila na kukitumikia chama chake. Aachwe aamue kubaki CHADEMA.

Pili, CHADEMA inampigania. Mara baada ya Mwigamba kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uchochezi(akiwa pamoja na Absalom Kibanda), CHADEMA ilimwaga Mawakili Wasomi kumlinda kisheria Mwigamba. Tangu siku ya kwanza ya kesi hadi sasa, Mwigamba analindwa,anasaidiwa, anatetewa na kupiganiwa. Naye anaonesha uzalendo kwa chama kiutumishi na kiutawala.Ya Arusha na mitandaoni yanajadilika na kusameheka. Mwigamba hawezi kuhama CHADEMA kirahisi.

Tatu, CHADEMA kimeimarika na kutambulika kama chama kikuu cha upinzani nchini. Ni mpinzani wa kweli wa CCM yetu iliyo madarakani tangu 1977 ilipoanzishwa ikirithi utawala wa TANU ulioanza 1961. CHADEMA kwasasa si chama cha kubeza. Kinasumbua vichwa vya makada na viongozi wa CCM.Si kitu kidogo kuwa ndani ya CHADEMA,tena katika ngazi ya Mwigamba. Mchezaji mzuri hasusi mechi kirahisi.Hununa na kucheka baadaye kidogo. Mwigamba yuko tayari kuingia na kucheza mechi ya 2014 na 2015 akivaa jezi ya CHADEMA. Si rahisi kususa!

Nne, mambo ya Arusha yamekuzwa mno. Hayakutokea kama yarivyoripotiwa. Kwakuwa Mwigamba naye ni mwandishi wa habari, atakuwa ameshang'amua. Amejua jinsi anavyochochewa kuasi na kuhama CHADEMA. Kimsingi, Mwigamba ni mtu makini. Hawezi kuyumbisha chama lakini pia hatathubutu.

Tano, Mwigamba anaijua Katiba na Kanuni za CHADEMA. Atachukua hatua stahiki kikanuni pale ambapo atahitaji kukosoa kwa ajili ya maboresho. Hatarudia kujiita na kufanya alivyofanya. Alitereza. Alikosea. Anajua fika kuwa kwasasa yeye anaihitaji CHADEMA na CHADEMA inamhitaji. Ataiboresha kikanuni. Hawezi kutumika kirahisi kama inavyoripotiwa.

Sita, makada wa vyama vingine tuache kufuatilia na kuchochea yasiyotuhusu. Kwa CHADEMA ya sasa, hategemewi mtu.Hakuna hata mmoja aliye maarufu kuliko chama. Ushushushu na umafia toka nje sasa unakumbana haraka na 'a great wall'. Huu ni ukweli mchungu kuusema.

Hatahivyo, CCM yetu iko imara sana. Haihitaji kuchonganisha na kuvuna wanachama wa CHADEMA. Inajipanga na kujiimarisha zaidi kila kukicha kwa mpambano wa fainali hapo 2014 na 2015. Wachezaji wetu wana morali ya hali ya juu. Wako tayari kupata ushindi. Sasahivi, tumetingwa na kutekeleza Ilani yetu ya 2010-2015. Tukutane uwanjani 2014 na 2015. Kila la kheri wapinzani wetu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Saaam.
Mzee 2pa 2pa much respect, mwambie Sadifa aache matusi hapo lumumba
 
Hata kama cdm wakifanikiwa kum-contain mwigamba, kama hawata zingatia matumizi bora ya ruzuku hasa kupeleka pesa kwenye kanda basi wataibuka akina mwi-GAMBA wengi mara kwa mara. Cdm lazima ijue namna ya kupoza njaa za makamanda wake.
 
Sababu zipo nyingi.lakini hizi ni chache:

Kwanza,Samson Mwigamba amejijengea jina akiwa CHADEMA. Hata makala zake za 'Kalamu ya Mwigamba' za kwenye Tanzania Daima zinauzika kwakuwa tu yupo CHADEMA na akiwa kiongozi huko. Huo ndio ukweli. Mwigamba wa mwaka 2003 si huyu wa 2013. Kutoka Mwalimu hadi Mwenyekiti wa chama Arusha. Sasa, ni wakati wake kulipa fadhila na kukitumikia chama chake. Aachwe aamue kubaki CHADEMA.

Pili, CHADEMA inampigania. Mara baada ya Mwigamba kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uchochezi(akiwa pamoja na Absalom Kibanda), CHADEMA ilimwaga Mawakili Wasomi kumlinda kisheria Mwigamba. Tangu siku ya kwanza ya kesi hadi sasa, Mwigamba analindwa,anasaidiwa, anatetewa na kupiganiwa. Naye anaonesha uzalendo kwa chama kiutumishi na kiutawala.Ya Arusha na mitandaoni yanajadilika na kusameheka. Mwigamba hawezi kuhama CHADEMA kirahisi.

Tatu, CHADEMA kimeimarika na kutambulika kama chama kikuu cha upinzani nchini. Ni mpinzani wa kweli wa CCM yetu iliyo madarakani tangu 1977 ilipoanzishwa ikirithi utawala wa TANU ulioanza 1961. CHADEMA kwasasa si chama cha kubeza. Kinasumbua vichwa vya makada na viongozi wa CCM.Si kitu kidogo kuwa ndani ya CHADEMA,tena katika ngazi ya Mwigamba. Mchezaji mzuri hasusi mechi kirahisi.Hununa na kucheka baadaye kidogo. Mwigamba yuko tayari kuingia na kucheza mechi ya 2014 na 2015 akivaa jezi ya CHADEMA. Si rahisi kususa!

Nne, mambo ya Arusha yamekuzwa mno. Hayakutokea kama yarivyoripotiwa. Kwakuwa Mwigamba naye ni mwandishi wa habari, atakuwa ameshang'amua. Amejua jinsi anavyochochewa kuasi na kuhama CHADEMA. Kimsingi, Mwigamba ni mtu makini. Hawezi kuyumbisha chama lakini pia hatathubutu.

Tano, Mwigamba anaijua Katiba na Kanuni za CHADEMA. Atachukua hatua stahiki kikanuni pale ambapo atahitaji kukosoa kwa ajili ya maboresho. Hatarudia kujiita na kufanya alivyofanya. Alitereza. Alikosea. Anajua fika kuwa kwasasa yeye anaihitaji CHADEMA na CHADEMA inamhitaji. Ataiboresha kikanuni. Hawezi kutumika kirahisi kama inavyoripotiwa.

Sita, makada wa vyama vingine tuache kufuatilia na kuchochea yasiyotuhusu. Kwa CHADEMA ya sasa, hategemewi mtu.Hakuna hata mmoja aliye maarufu kuliko chama. Ushushushu na umafia toka nje sasa unakumbana haraka na 'a great wall'. Huu ni ukweli mchungu kuusema.

Hatahivyo, CCM yetu iko imara sana. Haihitaji kuchonganisha na kuvuna wanachama wa CHADEMA. Inajipanga na kujiimarisha zaidi kila kukicha kwa mpambano wa fainali hapo 2014 na 2015. Wachezaji wetu wana morali ya hali ya juu. Wako tayari kupata ushindi. Sasahivi, tumetingwa na kutekeleza Ilani yetu ya 2010-2015. Tukutane uwanjani 2014 na 2015. Kila la kheri wapinzani wetu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Saaam.

Hata kama Mwgamba (magamba) atang'ang'ania kubaki CHADEMA, yeye ni kondomu iliyokwisha tumika na Maccm wenye virusi. Hivyo CHADEMA wamesha mtupa jalalani, maccm endeleeni kumliwaza akiwa jalalani.
 
Mimi kama kawaida ujue .I am CCM supporter ila siamini kwamba CCM bado ina watu wenye akili kama wewe kaka .Tena unachambua mno bila hasira wala kuficha ukweli .Kwa nini hawakupi kuwa mwenekiti wa Chama kikongwe uokoe jahazi ?

Nimeshamuuliza hili swali siku nyingi lakini hakunipatia jibu. Jamaa anafaa kuwa senior adviser wa mwenyekiti wa ccm.
 
Hivi katika akili ya kawaida tu utajisikiaje ukijakugunduwa mkeo amekuanzishia thread MMU kwa kutumia fak
e ID kwamba mume wangu hanifikishi kileleni?

Wakati mnalala kitanda kimoja na hajawai kukwambia udhaifu wako?
 
Tunavmhitaji mwigamba mwenye ujasiri wa kuongea tuhuma zake kwenye vikao lakini si huyu mnafiki.

Hatumhitaji mwigamba aliye kama popo.

Nasema hivi kiongozi aliemaliza muda wa uongozi anahaki ya kugombea na kuchaguliwa tena mradi awe anatimiza mashariti katika cheo kimoja hii iko kwenye ibara moja ya toleo la 2004 mwaka 2006 tulifanya renovation mwaka huo huo tulikubaliana kubadilisha baadhi ya vipengele mimi nilikuwa katibu wa wilaya na hiki kipengele hatukiozungumzia juzi wakati napitia katiba nikitaka kujua kwanini mbowe na zitto wanagombana nikaona hiki kipengelee hakipo, nikasema kwanini hatukuambiwa wajumbe wakati kinaondolewa...MBOWE, ARFI - bara, MOHAMEDI ISSA - zanzibar, DR SLAA, Naibu katibu mkuu MOHAMEDI YUSUF- zanzibar, ZITTO –Bar hawa mimi ndiyo nawapinga kuendelea kugombea.....
 
Hivi katika akili ya kawaida tu utajisikiaje ukijakugunduwa mkeo amekuanzishia thread MMU kwa kutumia fak
e ID kwamba mume wangu hanifikishi kileleni?

Wakati mnalala kitanda kimoja na hajawai kukwambia udhaifu wako?

nitajiskia kufakufa...
 
Back
Top Bottom