Mwidiwe mwese!

Mwidiwe mwese!

Ikitotanzira

Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
24
Reaction score
151
Moyo Wenye Huruma
Ni dawa Kwa Wenye Machozi,
kila aonaye Thamani Ya mwenzake
Hupata thawabu ktk ufalme wa Mungu,
Najua Si rahisi Kuishi Bila Kikwazo Ktk Maisha
Napenda kukuomba radh kwa lolote nililo wahi kukukosea au kukuudhi maana naelekea ktk mwezi mtukufu wa ramadhani, kama huna kinyongo nami nirudishie msg hii leo..tuma kwa ndugu na rafiki ujue upendo wao kwako mie nimeanza na wewe! nakutakia maandalizi mema ya RAMADHAN QAREEM.
 
Moyo Wenye Huruma
Ni dawa Kwa Wenye Machozi,
kila aonaye Thamani Ya mwenzake
Hupata thawabu ktk ufalme wa Mungu,
Najua Si rahisi Kuishi Bila Kikwazo Ktk Maisha
Napenda kukuomba radh kwa lolote nililo wahi kukukosea au kukuudhi maana naelekea ktk mwezi mtukufu wa ramadhani, kama huna kinyongo nami nirudishie msg hii leo..tuma kwa ndugu na rafiki ujue upendo wao kwako mie nimeanza na wewe! nakutakia maandalizi mema ya RAMADHAN QAREEM.

Wewe ni mtusi wa wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom