Naomba msamaha tumeingia mwezi wa Toba na fadhila..

life is Short

JF-Expert Member
Apr 1, 2013
4,741
3,031
πŸ’žπŸ’•πŸ’žπŸ’•πŸ’žπŸ’•
*MOYO* wenye huruma ni dawa
kwa wenye machozi
πŸ’¦πŸ’¦πŸ’¦πŸ’¦πŸ’¦πŸ’¦
Kila aonae thamani ya mwenzake hupata thawabu ktk ufalme wa
*M.MUNGU* πŸ’ŽπŸ’ŽπŸ’ŽπŸ’ŽπŸ’ŽπŸ’Ž
Najua c rahis kuish bila
kikwazo ktk *MAISHA*
πŸŒ€πŸŒ€πŸŒ€πŸŒ€πŸŒ€πŸŒ€
Napenda kukuomba 🀲 *RADHI*
kwa lolote nililowahi kukukosea au kukuudhi
⚑⚑⚑⚑⚑⚑
Maana tunaelekea ktk mwezi
mtukufu wa *RAMADHANI*
πŸ’«πŸ’«πŸ’«πŸ’«πŸ’«πŸ’«
Kama huna kinyongo na *MIMI* nirudishie sms hii leo
✨✨✨✨✨✨
Tuma kwa ndugu jamaa na marafiki ujue *UPENDO* wao *KWAKO*
πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’
mie nimeanza na wewe
πŸ”ΉπŸ”·πŸ”ΉπŸ”·πŸ”ΉπŸ”·
NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
β­πŸŒ™β­πŸŒ™β­πŸŒ™
 
Back
Top Bottom