chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 462
- 974
Kwa ambao hamuijui Mayotte kama mimi ni kuwa Mayotte ipo Comoros ila inamilikiwa na Ufaransa na Rais wao ni Emmanuel Macron. Kwahiyo mimi hapa Tanzania kila siku nawaza kuhama tuu niende mamtoni mambele hukoo hapa mm siwez kuishi. Nilipata jamaa mmoja hivi akasema kama nataka kwenda Ulaya sehemu rahisi kwenda ni Ufaransa
Nikauliza Ufaransa naendaje akasema nisiende moja Kwa moja ila inabidi nipitie comoro ambayo ni Afrika na hauhitaji visa kwenda Comoro ni passport yako tu, ukifika Comoro fikia sehemu inaitwa Mayotte pia unaenda bila VISA, baada ya hapo ni rahisi kuruka tu kama kilometer Mia hivi unakuwa jiji la PARIS Ufaransa tayari nitakuwa nishafika Ulaya.
Hata kama nikafika Paris bila visa ila ukishafika huko utapata makaratasi tuu lazima kwakuwa utapata wenyeji wa kukuelekeza jinsi ya kupata visa. Asanteni.
Nikauliza Ufaransa naendaje akasema nisiende moja Kwa moja ila inabidi nipitie comoro ambayo ni Afrika na hauhitaji visa kwenda Comoro ni passport yako tu, ukifika Comoro fikia sehemu inaitwa Mayotte pia unaenda bila VISA, baada ya hapo ni rahisi kuruka tu kama kilometer Mia hivi unakuwa jiji la PARIS Ufaransa tayari nitakuwa nishafika Ulaya.
Hata kama nikafika Paris bila visa ila ukishafika huko utapata makaratasi tuu lazima kwakuwa utapata wenyeji wa kukuelekeza jinsi ya kupata visa. Asanteni.