Ni nyie tu ndio amjui kipi choigwa. Hata mkitendewa vizuri vingi hamvioni.
!
!
jamaa wamekujibu wanakwambia Nyerere kaanzisha CCM ambayo eti wewe unaishabikia.....tafadhali rudi uangalie kama wamepata au wamekosa
Hiyo dini yenu ya mashetani imekuvuruga wewe vua hicho kilemba utakuwa muelewa shame on you
Katika marais wote wa Tz, naona Kikwete yupo juu, Mtu kama Nyerere anashindwa kujenga nyumba yake ya kuishi, unategemea mfanyakazi wa kawaida ataweza kujenga kweli. kama hataweza kujenga unatarajia aishi kama Nyani? Sera za kuambukizana umaskini tu ndio tutakachoiga,
Umesema vyema ndugu.1. walijitahidi kuhubiri na kusimamia wanachoamini kutoka ndani ya mioyo yao kikweli kweli.
2. Waliepuka kufanya siasa za kinafiki.
3. Hawakufanya siasa ili kujipatia mali au kutafuta sifa bali kwa lengo la kuletea hadhi mataifa yao na watu wake.
Kwa sasa wanasiasa wengi wanafiki, watafuta sifa, wasaka mali na ikitokea mmoja muadilifu atahujumiwa kwa kuzushiwa propaganda au hata kuuawa. ndo hivyo tu mkuu.
Nimekuuliza "Nyerere ana kipi kinachoigwa?" unasema ooh "wewe humpendi". Wewe unaempenda nakuuliza ana kipi kinachoigwa?
Ukitaka kumuiga Mandela, kwanza anza kwa kufungwa miaka 26.0
[Wao akiwamo Mandela ndio walioonja adha ya ubaguz,utumwa na uonezi uliopita mipaka..waliandaa mising ya utu..ambayo mpaka sasa pengne ndiyo imewapa nguvu waafrika hata ya kusikika dunian..kwamba na wao wapo..ni ngumu kama nn kuwalinganisha na viongoz wa sasa..sisi tunajua nn zaid ya rushwa na wizi tu.
Viongozi wa zamani kama mandela, nyerere wanatofautiana na wasasa wa zamani walijitoa kwa ajili ya wengine, walihangaika kutafuta furaha, amani, haki ya wengine waliweka maslahi ya wengine mbele yao nyuma ni mfano wa kuigwa viongozi kama hao sasa hakuna wamebaki wa kuweka maslahi yao mbele ya maslahi ya taifa nyuma wapumzike kwa amani
Nabii huwa hakubaliki kwao