Wakuu,kwa wale wenye interest ya mambo ya madini njooni kalenge,sio mbali sana ni njia ya kwanda Kibondo KM kama 25 toka njia panda ya Nyakanazi,mimi nipo hapo tangu juzi,zimefumuka dhahabu haijawahi kutokea,wasukuma wanasema kuyila.Ninavyoongea kila baada ya dakika mbili inafika misafara ya magari yenye maelfu ya watu toka sehemu mbalimbali kujaribu bahati zao,mimi nimekuja juzi lakini angalau hata nikiondoka kesho niko safi.Nachoofia ni out break ya magonjwa kama kipindupidu etc kwani watu wamefurika utadhani Loliondo enzi hizo.Pia RPC Kigoma sijui kama anazo taarifa kwani ni hatari tupu,watu wapo na mamilions kwa ajili ya kununua dhahabu papo kwa papo,Burundi ipo jirani na nimeona raia wa nchi izo wengi tu.Mwenye interest na dhahabu karibu Kalenge,uliza mjaluo utanipata.