Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
ALAANI MCHAKATO WA UPINZANI KUDAI KATIBA
"Mimi mwenyekiti wa UWT mkoa wa Njombe nalaani chokochoko hizo na zaidi nawaomba watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii kuendelea kuunga mkono juhudi anazozifanya Rais wetu kutuletea maendeleo watanzania wote" Scolastika Kevela
"Mimi mwenyekiti wa UWT mkoa wa Njombe nalaani chokochoko hizo na zaidi nawaomba watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii kuendelea kuunga mkono juhudi anazozifanya Rais wetu kutuletea maendeleo watanzania wote" Scolastika Kevela