Mwenyekiti wa UWT Njombe alaani mchakato wa wapinzani katika kudai Katiba mpya

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
ALAANI MCHAKATO WA UPINZANI KUDAI KATIBA
"Mimi mwenyekiti wa UWT mkoa wa Njombe nalaani chokochoko hizo na zaidi nawaomba watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii kuendelea kuunga mkono juhudi anazozifanya Rais wetu kutuletea maendeleo watanzania wote" Scolastika Kevela

E7P-c4pXEAQ1VFT.jpg
 
Wanaokula cake ya Taifa wanapambana kuhakikisha Watanzania hawaamki.

Wabunge wanalipwa Shs ngapi kwa mwezi, hawakatwi Kodi?

Wafanyakazi wanalia kukosa FAO LA KUJITOA..hasa sekta binafsi NSSF

Wakulima vijijini wamepandishiwa Bei ya mbolea

Ccm endeleeni kutetea ulaji wenu ..hamtaki Watanzania waamke
 
ALAANI MCHAKATO WA UPINZANI KUDAI KATIBA
"Mimi mwenyekiti wa UWT mkoa wa Njombe nalaani chokochoko hizo na zaidi nawaomba watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii kuendelea kuunga mkono juhudi anazozifanya Rais wetu kutuletea maendeleo watanzania wote" Scolastika Kevela

View attachment 1870242
Huko ccm mbona wanawake wanasura za uchawi,yani hawanaga akili mpya wao ni kugawa papa na kupata vyeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom