Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Geita na Mtia nia wa Ubunge jimbo la Geita mjini Manjale Magambo Ametekwa jana 24 October 2025 saa tatu Nyumbani kwake maeneo ya Bombambili.
Simu yake ilituma Masseji za maandamano kwa watu zaidi ya 2000 inasemekana alifanyiwa figisu kwenye ubunge sasa analipa kisasi.
Hiyo Gari iliyomteka inaplate namba ya Toyota Vanguard lakini gari ni Toyota Hillux ambayo inasoma jina la Brian Paul Bayo yenye number ya 0710909491 mmiliki wa gari ni wa Arusha.
Nyoka akikosa mawindo anaweza hata kula mkia wake mwenyewe. Hakuna aliye salama na ni suala la muda tu. Utakuja kusikia hata Samia mwenyewe katekwa na watu wasiojulikana!
Kuhamasisha maanadamano kwa kutumia namba yako inayojulikana ni hatari maana kati ya hao unaowatumia kuna MESENARIES aka Mapandikizi aka MASNICHI ambao wanaenda kukuchoma kwa KK-Kikosi Kazi then wanapita na wewe.
Kuhamasisha maanadamano kwa kutumia namba yako inayojulikana ni hatari maana kati ya hao unaowatumia kuna MESENARIES aka Mapandikizi aka MASNICHI ambao wanaenda kukuchoma kwa KK-Kikosi Kazi then wanapita na wewe.