DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Manjale Magambo amechukua fomu kuomba uteuzi wa kuwania ubunge katika Jimbo la Geita Mjini.
Magambo amekabidhiwa fomu hiyo Juni 28,2025 na Katibu wa CCM Wilaya ya Geita, Michael Msuya.
Magambo amekabidhiwa fomu hiyo Juni 28,2025 na Katibu wa CCM Wilaya ya Geita, Michael Msuya.