Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Katibu wa kanda ya kaskazini na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Arusha Mhe.Amani Golugwa,leo amekutana na viongozi wa Mkoa wa dini ya kiislamu katika ofisi za Chadema zilizopo Ngarenaro.
Katika kikao hicho pamoja na mambo mengi viongozi hao wa dini walionyesha kusikitishwa kwao na mwenendo wa kesi kwa jinsi ambavyo Mbunge wa Arusha mjini mhe Gobless Lema amekuwa akinyimwa haki ya dhamana kwa shauri lake lililopo Mahakamani.
Katika kikao hicho pamoja na mambo mengi viongozi hao wa dini walionyesha kusikitishwa kwao na mwenendo wa kesi kwa jinsi ambavyo Mbunge wa Arusha mjini mhe Gobless Lema amekuwa akinyimwa haki ya dhamana kwa shauri lake lililopo Mahakamani.