johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemtaka Katibu mkuu wa UWT Jokate Mwegelo kutowabagua Wananchi.
Lema amesema ni upumbavu kushawishi Watu kuchaguana kwa Vigezo Vya Jinsia, Dini na Kabila.
Karipio hilo amelitoa huko ukurasani X.
---
Kauli ya Lema
"Ebu funga mdomo wako wewe ,kauli za kibaguzi na kipumbavu hizi. Vinywa vyenu vimejaa ubaguzi wa kila namna, chama chenu ni janga kuu kwa Nchi. Mtu hachaguliwi kwa JINSIA, DINI, KABILA, isipokuwa uwezo, ubunifu, busara, uadilifu na umakini katika kazi." - Gobless Lema
Pia soma: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume
Lema amesema ni upumbavu kushawishi Watu kuchaguana kwa Vigezo Vya Jinsia, Dini na Kabila.
Karipio hilo amelitoa huko ukurasani X.
---
Kauli ya Lema
"Ebu funga mdomo wako wewe ,kauli za kibaguzi na kipumbavu hizi. Vinywa vyenu vimejaa ubaguzi wa kila namna, chama chenu ni janga kuu kwa Nchi. Mtu hachaguliwi kwa JINSIA, DINI, KABILA, isipokuwa uwezo, ubunifu, busara, uadilifu na umakini katika kazi." - Gobless Lema
Pia soma: Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume