Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
yaani sasahivi ikitokea kuna kata iko wazi, watazunguka nae mpaka akome...Watu wanakugongea usiku kama huwajui unafubguake dirisha ili kuongea nao?!
Mnachezeana michezo ya kipuuzi wenyewe kwa wenyewe.
Sasa huyu nae atakuwa kinyago cha Mwigulu au Kinana?