GE2025 Mwenyekiti wa BAZECHA Mbeya: Kama kweli CCM imefanya kazi nzuri kwanini waogope kushindana na CHADEMA

GE2025 Mwenyekiti wa BAZECHA Mbeya: Kama kweli CCM imefanya kazi nzuri kwanini waogope kushindana na CHADEMA

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetajwa kuiogopa CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kutokana na mazingira ya kukibana chama hicho kikuu cha upinzani huku vyama vingine vya upinzani vikionekana kuimarika, kikiwemo ACT Wazalendo na CHAUMMA.

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA (BAZECHA) mkoa wa Mbeya, John David Mwambigija maarufu kama Mzee wa Upako, alipokuwa akizungumza mkoani Mbeya.
 
Abha CCM Bhikujitila fijo I Chadema, kanghi bhikobhopa vikufwana vindingo
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetajwa kuiogopa CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kutokana na mazingira ya kukibana chama hicho kikuu cha upinzani huku vyama vingine vya upinzani vikionekana kuimarika, kikiwemo ACT Wazalendo na CHAUMMA.

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA (BAZECHA) mkoa wa Mbeya, John David Mwambigija maarufu kama Mzee wa Upako, alipokuwa akizungumza mkoani Mbeya.
Kweli hakunaga Mwaisa mshamba,
Mbeya mpo vizuri
 
Back
Top Bottom