PreGE2025 Mwenyekiti wa ACT Wazalendo awashangaa wabunge wanaomshambulia Martha Karua

PreGE2025 Mwenyekiti wa ACT Wazalendo awashangaa wabunge wanaomshambulia Martha Karua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Ndugu Othman Masoud Othman amesema amesikitishwa na kauli za baadhi ya Wabunge dhidi ya wanaharakati kutoka Kenya na Uganda kuhamasisha matumizi ya nguvu za dola dhidi yao.

Akitolea mfano wa Mbunge wa Pandani Ndugu Maryam Omar Said aliyesema Mwanasiasa wa Kenya alipaswa kupigwa sana, Ndugu Othman Masoud amesema Mbunge huyo hakuchaguliwa na wanachi, alitangazwa akiwa kapata kura 36 wakati mshindi halisi wa ACT Wazalendo alipata kura zaidi ya 5000 hivyo hana uchungu na wananchi ndio maana anaongea maneno ya yasiyofaa.
 
Screenshot_20250526-132142_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom