Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Imeelezwa kuwa Shule ya Sekondari Nyang’hwale iliyopo wilayani humo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo Uchakavu wa Majengo , Upungufu wa walimu pamoja na Upungufu wa vifaa vya kutumia ikiwemo Photocopy Machine pamoja na Kompyuta.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa shule ya Sekondari Nyang’hwale Mwl. Zabron Selemani wakati akisoma risala kwa Mgeni rasmi katika Mahafali ya kwanza ya kidato cha sita ambapo ameomba kufanikisha uhitaji huo kwenye shule sambamba na kufanikisha upatikanaji wa maji ambapo eneo hilo maji yamekuwa ni ya kusua sua.
Soma, Pia: UWT Lindi wamshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa Shule ya TSh. Bilioni 4.1
Kwa upande wake Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita na Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi wanawake (UWT) Mkoa wa Geita Bi. Laulencia Bukwimba amewataka vijana wanaotarajia kuhitimu Kidato cha sita kuachana na Mambo yasiyo faa badala yake wawekeze katika Elimu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa shule ya Sekondari Nyang’hwale Mwl. Zabron Selemani wakati akisoma risala kwa Mgeni rasmi katika Mahafali ya kwanza ya kidato cha sita ambapo ameomba kufanikisha uhitaji huo kwenye shule sambamba na kufanikisha upatikanaji wa maji ambapo eneo hilo maji yamekuwa ni ya kusua sua.
Soma, Pia: UWT Lindi wamshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa Shule ya TSh. Bilioni 4.1
Kwa upande wake Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita na Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi wanawake (UWT) Mkoa wa Geita Bi. Laulencia Bukwimba amewataka vijana wanaotarajia kuhitimu Kidato cha sita kuachana na Mambo yasiyo faa badala yake wawekeze katika Elimu.