Intepreneur
Member
- May 24, 2015
- 75
- 35
Kumbe UVCCM Rombo? Mbona amechelewa sana kuhamia chaga dema?
andika wewe!Na makatibu wenezi wa chadema dodoma na mtwara waliohama mbna hatuwaandiki
Tunamkaribisha sana kweneye mapambano na mabadiliko ya kweli
Oh ok. Kumbe Shirima sawa, angekuwa Mwita au Mwakalosi ningeshangaa kidogo...
Safi sana... Huyu dada namfahamu sio mtu wa kuyumbishwa hata kidogo
Tunamkaribisha sana kweneye mapambano na mabadiliko ya kweli