Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Pro-Chadema wana mambo ya kizamani sana sasa kuweka picha ya Mbowe na maghorofa ya Marekani ndio nini utadhani msanii wa bongo movie.
Utazoe tu mwaka huu halali mtu mpaka kieleweke tunapiga kotekote. Furaha ya CDM wananchi ndio wameikubali na ninyi wenzetu mnanunua wananchi kwa sinia za wali na kanga.