OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,350
- 104,359
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, na watendaji wengine, wamewasili jimboni Arumeru Mashariki kusikiliza na kuamua rufaa ya pingamizi iliyowasilishwa na mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari dhidi ya Sioi Sumari wa Chama cha Mapinduzi (CCM)....Chanzo:Tanzania Daima
Wadau wote wa CDM chungeni kwa ukaribu sana nyendo za hawa ma-agent wa magamba, wanaweza kuwa wanatembea na brifcase yenye jina la mshindi kabla hata ya uchaguzi
Wadau wote wa CDM chungeni kwa ukaribu sana nyendo za hawa ma-agent wa magamba, wanaweza kuwa wanatembea na brifcase yenye jina la mshindi kabla hata ya uchaguzi