Mwenyekiti NEC,Jaji Lubuva atinga Arumeru,CHADEMA chunga sana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,350
104,359
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, na watendaji wengine, wamewasili jimboni Arumeru Mashariki kusikiliza na kuamua rufaa ya pingamizi iliyowasilishwa na mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari dhidi ya Sioi Sumari wa Chama cha Mapinduzi (CCM)....Chanzo:Tanzania Daima
Wadau wote wa CDM chungeni kwa ukaribu sana nyendo za hawa ma-agent wa magamba, wanaweza kuwa wanatembea na brifcase yenye jina la mshindi kabla hata ya uchaguzi
 
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, na watendaji wengine, wamewasili jimboni Arumeru Mashariki kusikiliza na kuamua rufaa ya pingamizi iliyowasilishwa na mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari dhidi ya Sioi Sumari wa Chama cha Mapinduzi (CCM)....Chanzo:Tanzania Daima
Wadau wote wa CDM chungeni kwa ukaribu sana nyendo za hawa ma-agent wa magamba, wanaweza kuwa wanatembea na brifcase yenye jina la mshindi kabla hata ya uchaguzi
Jirani, Wameru ni watu wa aina yake. Sio watu wa kuporwa haki yao and then wanyamaze. Fuatilia kidogo historia ya Wameru and then utawatambua ni watu wa aina gani.Of course magamba wamejaa ktk system nzima ya NEC lakini tutapambana nao hadi tone la mwisho la damu.
 
Jirani, Wameru ni watu wa aina yake. Sio watu wa kuporwa haki yao and then wanyamaze. Fuatilia kidogo historia ya Wameru and then utawatambua ni watu wa aina gani.Of course magamba wamejaa ktk system nzima ya NEC lakini tutapambana nao hadi tone la mwisho la damu.

simu yangu haina kitufe cha like, mod please muongezee nampa huyu mnyisanzu likes mbili.
 
Jirani, Wameru ni watu wa aina yake. Sio watu wa kuporwa haki yao and then wanyamaze. Fuatilia kidogo historia ya Wameru and then utawatambua ni watu wa aina gani.Of course magamba wamejaa ktk system nzima ya NEC lakini tutapambana nao hadi tone la mwisho la damu.
mtafanya nini nyie, hao wameru wana nini kilicho zidi watanzania wengine? wabongo wanajulikana, domodomo nyingi lakini hakuna chochote, hapa hakuna wizi wa kura ila ni ushindi wa haki kabisa kwa CCM. Halafu huu mkara wenu CDM mjaribu kufanya kweli ndio mtajua serikali ni kitu gani. Siku hizi ni za moto tu.

Msitake kuwapandisha chati hao wanakijiji na vimshale vyao. Tunagawa kofia, kanga na wali halafu tunachukua kura. Tena nyie wanyampaa ndio wepesi kweli kudanganyika.
 
mtafanya nini nyie, hao wameru wana nini kilicho zidi watanzania wengine? wabongo wanajulikana, domodomo nyingi lakini hakuna chochote, hapa hakuna wizi wa kura ila ni ushindi wa haki kabisa kwa CCM. Halafu huu mkara wenu CDM mjaribu kufanya kweli ndio mtajua serikali ni kitu gani. Siku hizi ni za moto tu.

Msitake kuwapandisha chati hao wanakijiji na vimshale vyao. Tunagawa kofia, kanga na wali halafu tunachukua kura. Tena nyie wanyampaa ndio wepesi kweli kudanganyika.
Kubakizwa nyumbani kula tende,harua na ubwabwa ni kubaya sana. Hata shule za kata zilikushinda! Halafu nani huwa anakuingiza humu JF?
 
Haahaha sasa mnamuogopa hata msimamizi wa uchaguzi? Hivi kuna mtu mwenye heshima zaidi ya judge au mlitaka makamba awe mwenyekiti wa tume ya uchaguzi?
 
Ngoja tuone kama bado anaendelea kuwa jaji wa kutumwa au atatumia njia ya mbayuwayu
Tumuone mara ngapi? Ameshaanza kutoa hukumu za kukandamiza demokrasia, amekataa mtu yeyote asipige kura ambae hakujiandikisha toka 2009

Ina maana kama ulifikisha miaka 18 siku moja baada ya daftari la wapiga kura kufungwa mwaka 2009 inabidi usubiri mpaka next time around, mwaka 2015 nadhani, kujiandikisha. Miaka mingapi hiyo, sita! Ukitimiza miaka 18 inabidi usubiri miaka sita kabla ya kuanza kupiga kura!
 
Kadadeki zao CCM wasituletee ukinega wao Arumeru, sisi Chadema tunafanya siasa na harakati sasa kama wanbisha wataona wakifanya u.s.e.n.g.e Arumeru, Tutawaua wao na police kwa vita baridi kama ilotekea misri." LUBUVA TAKE CARE BKOZ CHADEMA SISI NI WANAHARAKATI NA HATUONI TABU KUPOTEZA DAMU YA F.A.L.A HATA MMOJA KWA AJIRI YA HAKI.
 
umekosea number mangi, hapa ni Ugali wa dona na maziwa ya mgando
You sound like our House boy back n 1983, alikuwa anapenda kula ugali utafikiri atakufa kesho yake......exactly kama wewe!!!
 
LUBUVA na mke wa LOWASA ni mtu na dada yake, kwa hiyo hawezi kuamua haki, lazima amtetee mkwe wake SIOI


Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, na watendaji wengine, wamewasili jimboni Arumeru Mashariki kusikiliza na kuamua rufaa ya pingamizi iliyowasilishwa na mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari dhidi ya Sioi Sumari wa Chama cha Mapinduzi (CCM)....Chanzo:Tanzania Daima
Wadau wote wa CDM chungeni kwa ukaribu sana nyendo za hawa ma-agent wa magamba, wanaweza kuwa wanatembea na brifcase yenye jina la mshindi kabla hata ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom