GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kusini, Aden Mayala atimkia CCM

GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kusini, Aden Mayala atimkia CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Aden Mayala amekihama chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Oktoba 22, 2025 wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika viwanja vya Kecha Ilala Jijini Dar es Salaam

1761133305202.png
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Aden Mayala amekihama chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Oktoba 22, 2025 wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika viwanja vya Kecha Ilala Jijini Dar es

No issue kashafika bei huyo
 
Nimependa hotuba ya msigwa, hakuitajataja chadema vibaya wala viongozi wake kama anavyofanya poyoyo wenje. Msigwa kajikita kwenye kampeni tu bila kuisiliba chadema
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Aden Mayala amekihama chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Oktoba 22, 2025 wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika viwanja vya Kecha Ilala Jijini Dar es Salaam

Habari ya leo ni Je 29.10.2025 tunatoka ama hatutoki.
Tupo kitaifa zaidi... haya ma vyama wajinga mbona ni wengi tu.
 
Hivi mjuba Mbowe naye atatimkia CCM lini, au yeye atatimkia CHAUMMA? Popote atakapotimkia huko akawe muungwana, asiiseme CHADEMA vibaya ataonekana akili haziko sawa.
 
Nimependa hotuba ya msigwa, hakuitajataja chadema vibaya wala viongozi wake kama anavyofanya poyoyo wenje. Msigwa kajikita kwenye kampeni tu bila kuisiliba chadema
Msigwa anamkubali Lissu na anaipenda Chadema
 
Msigwa anamkubali Lissu na anaipenda Chadema
msigwa aendelee na moyo huo, huo ndio ukomavu wa kisiasa na ataaminiwa na watu, isije akala matapishi yake kama wenje anavyokula
 
Back
Top Bottom