Mwenyekiti BAVICHA Taifa ndani ya Same

kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.

pole sana ndugu,lakini uzuri ni kwamba tukikomboa nchi matunda tutakula wote bila kujali vichaa,wagonjwa wa akiri....operation hii najua hamuipendi lakini mungu kamua kutusikilaza wananchi.
 
Hivi ule mradi wa Anne Kilango wakusindika Tangawizi bado anaendelea nao??
 
BAVICHA tunaomba uende Korogwe Mjini na vijijini majimbo yako wazi.
makamanda tunalalamika huku tunahitaji CDM please.
 
Pole kama neno lime kuumiza. Lakin kwa wana same ni Breking news baada ya kunyonywa miaka nenda rudi. Kwa hakika huu ni ukomboz
Hii sio breakNews Mkuu,,, usitumie neno hilo vibaya bhana...
 
Ratiba ni siku 4 tu muombe Mungu
 
Pamoja mkuu
 
Hongera mkuu hakuna kulala mpaka kieleweke!!
 
Pole kama neno lime kuumiza. Lakin kwa wana same ni Breking news baada ya kunyonywa miaka nenda rudi. Kwa hakika huu ni ukomboz

hakuna cha ukombozi hapo! yote sawa! kila mtanzania anatafutia tumbo lake!
 
kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.

Kazi ya wanasiasa ni nini kwani? Au hujui kuwa kukuza na kueneza sera za chama ndio kazi yao inayowapatia kipato?? Wakikaa kimya, wanaonekana chama cha msimu..!!!
 
kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.
kazi, elimu ya uraia, kuimarisha chama na kupokea wanachama wapya vinaenda sambamba muda hautusubiri.... wakati ukuta 2015 siyo mbali kaka.
 
Breaking news nyingine very nauseating!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…